wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
Mafia ni kisiwa ambacho kipo kusini mwa Tz.
nipo hapa kwa muda usiopungua mwezi sasa ...
shughuri kubwa hapa ni uvuvi wa samaki mbalimbali wapoambao ni hotcake
yaani wanavuliwa kamba koch,pweza nk.
Pia zipo shughuri za kitalii maana lipo eneo limetengwa maalum kwa Hifadhi ya Bahari likiwa
chini ya Marine Park ambalo watalii huwa wanafanya michezo ya baharini .
pamoja na utalii ni mategemeo ya watu wa hapa baaba ya muda kutakuwa na uzalishaji wa mafuta na gesi
kwa maisha ya baadae (haijulikani mradi hutakamilika lini)
KULIKONI MAFIA
Tokea nifike hapa nilikuta lipo tatizo la mgao wa umeme...
nilipouliza wenyeji wangu wakaniambia ni kawaida kwa mgao huo hasa ikitokea
1. mafuta ya kuwasha mitambo (generators) ya umeme ikiwa ndio ipo katika taratibu za kuagizwa au kuletwa
hapa kisiwani...... maana yanatoka DSM kwa kuletwa na meli ya mafuta
2. kukiwa na tatizo la kiufundi pia itabidi kuwepo na mgao kwa muda hadi vifaa (Spares) vitakapo agizwa
kutoka DSM... nayo hii itachukua hadi siku tatu ndio mambo yatakua sawia(c mnajua tena safari + posho)
hizo ndio sababu zinazochelewesha maendeleo lakini cha kushangaza umeme huo unawaka ktk vitongoji
vitatu tu (kilindoni, kulungeni na kigamboni) ambavyo ni sawa na eneo la Sinza ya Dar ki ukubwa.
labda kosa c la management ya tanesco ya mafia, labda kosa ni kampuni na viongozi wake wa dar, labda c kampuni wala viongozi wake.. kosa litakuwa la wizara husika lakini huwezi kujua moja kwa moja tatizo ni nini.....au nani.
yapo mambo mengi sana nimeyaona katika kipindi cha mwezi mmoja niliokaa huku... nitawajulisha moja hadi jingine
wana jf ............ watu wa huku ni wakarimu sana na khs samaki wapo wa kila aina .
nipo hapa kwa muda usiopungua mwezi sasa ...
shughuri kubwa hapa ni uvuvi wa samaki mbalimbali wapoambao ni hotcake
yaani wanavuliwa kamba koch,pweza nk.
Pia zipo shughuri za kitalii maana lipo eneo limetengwa maalum kwa Hifadhi ya Bahari likiwa
chini ya Marine Park ambalo watalii huwa wanafanya michezo ya baharini .
pamoja na utalii ni mategemeo ya watu wa hapa baaba ya muda kutakuwa na uzalishaji wa mafuta na gesi
kwa maisha ya baadae (haijulikani mradi hutakamilika lini)
KULIKONI MAFIA
Tokea nifike hapa nilikuta lipo tatizo la mgao wa umeme...
nilipouliza wenyeji wangu wakaniambia ni kawaida kwa mgao huo hasa ikitokea
1. mafuta ya kuwasha mitambo (generators) ya umeme ikiwa ndio ipo katika taratibu za kuagizwa au kuletwa
hapa kisiwani...... maana yanatoka DSM kwa kuletwa na meli ya mafuta
2. kukiwa na tatizo la kiufundi pia itabidi kuwepo na mgao kwa muda hadi vifaa (Spares) vitakapo agizwa
kutoka DSM... nayo hii itachukua hadi siku tatu ndio mambo yatakua sawia(c mnajua tena safari + posho)
hizo ndio sababu zinazochelewesha maendeleo lakini cha kushangaza umeme huo unawaka ktk vitongoji
vitatu tu (kilindoni, kulungeni na kigamboni) ambavyo ni sawa na eneo la Sinza ya Dar ki ukubwa.
labda kosa c la management ya tanesco ya mafia, labda kosa ni kampuni na viongozi wake wa dar, labda c kampuni wala viongozi wake.. kosa litakuwa la wizara husika lakini huwezi kujua moja kwa moja tatizo ni nini.....au nani.
yapo mambo mengi sana nimeyaona katika kipindi cha mwezi mmoja niliokaa huku... nitawajulisha moja hadi jingine
wana jf ............ watu wa huku ni wakarimu sana na khs samaki wapo wa kila aina .