Kuliko kupewa adhabu hii ni bora upigwe

Umejuaje kama hawashiriki? Hii stori kama ya kutunga vile.

kwa kuwa anahitaji ushauri lazima atatujuza kila kitu na mbaya sana mme wake hali chakula nyumbani na hic anaogopa labda atakitia sumu
 
Ukiona unauliza swali hili na kweli linatoka moyoni, basi uanaume wako una walakini. Dume moja linaweza kupanda majike kumi na zaidi na kuyazalisha, lkn hakuna kitu kama jike moja kupandwa na madume mawili ndio lizae.....amsha kichwa wewe!

Ningemjua mkeo hata kama ni mbaya ningem'bandua ili nione jinsi unavyolia na kumsamehe...pimbi we!

si lazima utukane ili ueleweke anyway inawezekana mama yako alikunywa sana vidoge ili kutungisha mimba yako na hujui hata baba yako mzazi ni yupi ndiyo sababu domo lako limejaa uchafu.
 
anasubiria tu ajisahau halafu anamtoa kafara , huyo mwanaume ni mnyarwanda nini? , maana ndiyo zao kukauka halafu siku moja unajuta maisha yako yote
 
Jamani hiki ni kisa nilichoshuhudia mwenyewe. Dada mmoja alifumaniwa live na mume wake akingonoka na mwanaume mwingine ndani ya nyumba yao.kwa bahati mbaya yule mwanaume alifanikiwa kutoroka kabla mwenye mali hajamtia mikononi. Cha ajabu mme wake hajamuuliza chochote mpaka leo. Akiondoka anamwachia matumizi kama kawaida pia akirudi anamletea matumuzi na zawadi kama ilivyokuwa awali.Ni mwezi umepita sasa na out kashamtoa mara tatu.hajamnunia anacheka nae kama kawaida. Sasa najiuliza
1. Je kunyamaza inamaana anampenda sana hataki kumuudhi
2. Au anamuandalia adhabu
Kwa kweli hali hii mwanadada kapunguza kilo zaidi ya kumi kakonda balaa .

unanikumbusha jamaa mmoja nae alimfumania mkewe na mwanaume, akamuachia mwanaume aende zake kisha akamchukua mkewe akarudi nae nyumbani bila ya kumfanya kitu, siku ya pili akanunu panga akaliweka kabati kisha ufunguo anaondoka kila siku akirudi analinoa analirudisha kwenye kabati, mke kavumilia hadi kashindwa ikabidi akashitaki kwa ndugu zake kuwa mumewe anataka kumchinja...nakuja kumalizia baadae yaliyoendela
 
Kweli. Kwetu sisi mume akifanya hivyo ni sababu tosha ya wazazi wa mke kumwita mtoto wao, na ndoa huweza kuvunjiaka!
 
Jamani hiki ni kisa nilichoshuhudia mwenyewe. Dada mmoja alifumaniwa live na mume wake akingonoka na mwanaume mwingine ndani ya nyumba yao.kwa bahati mbaya yule mwanaume alifanikiwa kutoroka kabla mwenye mali hajamtia mikononi. Cha ajabu mme wake hajamuuliza chochote mpaka leo. Akiondoka anamwachia matumizi kama kawaida pia akirudi anamletea matumuzi na zawadi kama ilivyokuwa awali.Ni mwezi umepita sasa na out kashamtoa mara tatu.hajamnunia anacheka nae kama kawaida. Sasa najiuliza
1. Je kunyamaza inamaana anampenda sana hataki kumuudhi
2. Au anamuandalia adhabu
Kwa kweli hali hii mwanadada kapunguza kilo zaidi ya kumi kakonda balaa .





"nimeipenda hiyo nami ngoja niifatilie nahisi inasaidia manake nimesisimka tu niliposoma ujumbe huu"
 
Huyo jamaa muuaji,hapo bado anafikiria adhabu gani ampe.
Namshauri huyo dada aende kwao akasikilizie mana jamaa hasomeki.
 
kwa kuwa anahitaji ushauri lazima atatujuza kila kitu na mbaya sana mme wake hali chakula nyumbani na hic anaogopa labda atakitia sumu
Kama ni kweli basi huyo ni wa pili kumskia, laiti wanaume wote tungekuwa hivyo basi vifo vya wivu wa kimapenzi visingekuwepo. Tukio la namna hiyo liliwahi tokea maeneo yetu, jamaa aliyefanya hivyo huyo hai ingawa ni mzee kwa sasa. Alifanya kama jamaa alivyofanya. Baada ya wiki mbili mwanamke akaaga anaenda kusalimia kwao. Kufika kwao binti akajishitaki kwa wazazi wake na kuwaelezea situation, nao wakaduwaa. Kesho yake jamaa katia timu ukweni. walipomwona walifurahi,wakaandaa misosi ya nguvu, huku wakiwa na shauku ya kumsikia. Jamaa akagonga misosi kama kawaida. Jambo la kushangaza baada ya misosi jamaa akawa anapiga stori nyingine tu. Mida ikazidi kuyoyoma, kila mtu anashauku ya kumsikia. Ajabu, jamaa akawaaga ili aondoke. Ilibidi mama mkwe alianzishe mwenyewe; akamuuliza kijana kama ana matatizo na binti yao, jamaa akakana, na kwamba hiyo safari ilikuwa ni kutaka kuthibitisha kama amefika nyumbani maana alimuaga anaenda kusalimia. Jibu liliwakata maini wazee, kwa masikitiko wakamwacha aondoke. Walichomwambia binti yao hakijulikani ila binti hakurudi tena, hata nguo alizoacha hakuzirudia. Ndo ikawa the end.
 
mbona wake zetu wakitufumania hawatupigi wala kutupa adhabu wanalia, wanatusamehe! iweje mwanaume akifanya hivyo iwe tatizo?

mie napenda wakitufumania watupe adhabu ya kuwafanya saaana mpaka tushindwe kufanya huko nje.
 
labda huyo jamaa mwizi alikuwa na tego kwamba mwenye mali hatamwona hata akiwafumania...kwa hiyo mwenye mali hakuwaona ndio maana maisha yanaendelea kama kawa
 
Back
Top Bottom