Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Imepita kama miezi kama mi 2 hivi tangu haka kabinti kaanze vituko vyake.
'
Ni katoto kadogo tu,kamezaliwa mwaka 2000!
'
Kalikua kananiheshimu sana,kila nikikutana nako au nikienda kwao kwaajili ya kuonana na baba yake ili kuzungumza mambo mbalimbali kalikua kananiamkia kwa adabu mpaka niliwahi kumpongeza baba wa haka kabinti kwa kukalea vizuri.
'
Lakini nikaanza kuona salam hakuna,nikienda kwao nikikakuta hakaningopi tena.
'
Nikikaita kukauliza kama baba yake yupo,nikiwa nazungumza nako hakapepesi macho wala kuangalia pembeni kama nilivyokazoea,kananiangalia moja kwa moja machoni.
'
Nilikua sitaki kuamini nilichokua nafiria mpaka jana usiku nilipopita nyumbani kwao na kukuta kanapewa kichapo na mama yake eti amekakuta na fedha taslim sh 160,000!
'
Kichapo kilipozidi kakasema kana mahusiano na jamaa mmoja kaliemtaja jina na kakasema uhusiano wao una miezi 2 sasa na huyo jamaa ndo amekua akikapa fedha hizo.
'
Mama yake kidogo azimie!
'
Nikagundua ndo maana haka kabinti kalikua kamebadilika.Tena huyo jamaa ana hela hivyo hakakuona faida ya kuniheshimu tena.
'
Sasa hii ni laana kabisa,huwezi kuamini ukikaona kalivyo,sijui huyu mwendawazimu alivutiwa nini kwa haka katoto!
'
Inaonekana katika mambo magumu siku hizi ni kulea mtoto wa kike!
'
Ni katoto kadogo tu,kamezaliwa mwaka 2000!
'
Kalikua kananiheshimu sana,kila nikikutana nako au nikienda kwao kwaajili ya kuonana na baba yake ili kuzungumza mambo mbalimbali kalikua kananiamkia kwa adabu mpaka niliwahi kumpongeza baba wa haka kabinti kwa kukalea vizuri.
'
Lakini nikaanza kuona salam hakuna,nikienda kwao nikikakuta hakaningopi tena.
'
Nikikaita kukauliza kama baba yake yupo,nikiwa nazungumza nako hakapepesi macho wala kuangalia pembeni kama nilivyokazoea,kananiangalia moja kwa moja machoni.
'
Nilikua sitaki kuamini nilichokua nafiria mpaka jana usiku nilipopita nyumbani kwao na kukuta kanapewa kichapo na mama yake eti amekakuta na fedha taslim sh 160,000!
'
Kichapo kilipozidi kakasema kana mahusiano na jamaa mmoja kaliemtaja jina na kakasema uhusiano wao una miezi 2 sasa na huyo jamaa ndo amekua akikapa fedha hizo.
'
Mama yake kidogo azimie!
'
Nikagundua ndo maana haka kabinti kalikua kamebadilika.Tena huyo jamaa ana hela hivyo hakakuona faida ya kuniheshimu tena.
'
Sasa hii ni laana kabisa,huwezi kuamini ukikaona kalivyo,sijui huyu mwendawazimu alivutiwa nini kwa haka katoto!
'
Inaonekana katika mambo magumu siku hizi ni kulea mtoto wa kike!