dry seaman
New Member
- Oct 27, 2010
- 4
- 0
mkuu naomba kuwasilisha,hivi ni kwanini kila mtu analalamika tu?prezida analalamika...... pm...... waziri wa..... katibu mkuu...... mkurugenzi wizarani......mkuu wa mkoa.....mkuu wa wilaya....... mkurugenzi wa jiji....wa mji.....wakuu wa vyuo.....walimu....wanafunzi....
wote hawa wanalalamika juu ya maisha duni kwa watanzania hivi ni nani hasa atakuja na majibu sahihi ya utatuzi?
sasa kwa nini na wewe unalalamika watu wakilalamika?
Na mie nalalamika kwa nini wewe umelalamika kuwa mto thread hii naye kalalamika??Hata mtoa thread hii amelalamika.
Duh!Wewe kweli MALENGA.kwasababu hapendi kuona watu WAKILALAMIKA..
NAMIMI SIPENDI KUONA mtu analalamika aimwona mtu analalamika kwa sababu watu wanalalamika...
hpful sjalalamika...so u do the samae usilalamike kwa kuwa sijalalamika ila yule pale alalamike kwanini sjalalamika kwakuwa mazingira tuliyomo yanatulazimu kulalamika...!!!!!!!!
nawasilisha malalmiko so usilalamike cz nimeshakulalamikia.
kwasababu hapendi kuona watu WAKILALAMIKA..
NAMIMI SIPENDI KUONA mtu analalamika aimwona mtu analalamika kwa sababu watu wanalalamika...
hpful sjalalamika...so u do the samae usilalamike kwa kuwa sijalalamika ila yule pale alalamike kwanini sjalalamika kwakuwa mazingira tuliyomo yanatulazimu kulalamika...!!!!!!!!
nawasilisha malalmiko so usilalamike cz nimeshakulalamikia.