Kula Uliwe .....😋😋😋😋

Kula Uliwe .....😋😋😋😋

Mi Niko na Noelia nataka mleta visiwani umeshanifahamu [emoji23][emoji23]
baraka zako kikongwe muhimu
Na pishi lako nimelipenda liko on point kwa wazee umri ulio taradati [emoji39][emoji39]
 
kasie...🤩🤩
Mwandiko wako unaonesha wewe ni mtu wa furaha mda wote.

😇😇😇😇😇😇
Yaani siwezi sema ndio au hapana......

Ila namshukuru maulana kwa karama/ kipawa nilichopewa.



Nyimbo kama hiyo ikipigwa lazima utasikia sauti yangu na kuona jasho huwa linanitoka haraka eneo gani 😜.
 
Mi Niko na Noelia nataka mleta visiwani umeshanifahamu [emoji23][emoji23]
baraka zako kikongwe muhimu
Na pishi lako nimelipenda liko on point kwa wazee umri ulio taradati [emoji39][emoji39]


Kila la kheri mwijukulu wanne.
 
😇😇😇😇😇😇
Yaani siwezi sema ndio au hapana......

Ila namshukuru maulana kwa karama/ kipawa nilichopewa.



Nyimbo kama hiyo ikipigwa lazima utasikia sauti yangu na kuona jasho huwa linanitoka haraka eneo gani 😜.

Wooozaaaahhhhh🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Mkuu unamaanisha nikila tu msosi na wewe nakukula au?
 
Back
Top Bottom