Kumbe unaweza kufosi ndoto hii kali nayoMimi nikiota
Sometimes nipo kwenye ndoto najua kabisa ninaota
Kama ni ya kutisha nafosi nishtuke usingizini japo inakuwa ngumu kama mwili vile umekakamaa
Ikiwa ni nzuri nafosi muendelezo sometimes nashindwa ku control narration
Nashtuka usingizini kesho naifosi hio ndoto naiota tena naendelea muendelezo
Nami pia iko hivyo, ndoto zisizo na maana hufutika ila zenye maana hubakia na naweza ona tafsiri zakeUsipoikumbuka ujue ndoto hiyo haina maana/ufunuo au ujumbe wa maana.
Usipoikumbuka ujue ndoto hiyo haina maana/ufunuo au ujumbe wa maana.
Umenipa mbinu aisee,Wakati mwingine nilikua na swali Kama Hilo maana nilikua naota ila ikifika mchana natamani nimsimulie mtu ndoto yangu ila nikawa nashindwa
Nikaanza utaratibu huu chumbani kwangu Kuna pen na daftari ikitokea nimeota ndoto nikistuka tu kutoka kwenye ndoto huwa naandika vyote Ninavyoweka kukumbuka kutoka katika ndoto hata Kama ni kidogo Sana (mradi tu nimekumbuka ) kutoka kwenye ndoto naandika kesho yake naisoma Tena
Hii inasadia Sana kukumbuka na vitu vingine
Mfano Nina ndoto niliota wakati flani niliota Kuna paka mwenye rangi nyeupe na nyeusi ananikoromea Kama akitaka kuning'ata nikapigana nae harafu nikampiga hapo Hapo nikastuka
Hii ndoto niliindaka kwenye simu (though hapa nimeacha vitu vingine Sana kwenye hiyo ndoto)
Asante Mungu niliweza kijua tafasiri yake
Mfano ,ingekuwa unaweza record kila kilichotokea kwenye ndoto,amini kuna mambo mengi tungeweza jifunza na kuyafaham.Ndoto zangu zinafanana mara nyingi. Na huwa nakumbuka kila nikiota.
1. Huwa naota napaa. Yaani nakuwa na uwezo kuruka juu hivi,najiongeza juu kwa juu. Nakuwa kama nashuka chini najiongeza juu na juu mpaka kufikia usawa wa mita 200 mpaka 300 kwenda juu. Nafurahi sana nikiruka hivyo. Watu wanakusanyika wananishangaa huo uwezo. Nakuwa naruka sehemu moja,siendi mbali. Huwa nafurahia sana nikiwa ktk hiyo hali. Na hii naiota mara nyingi sana.
2. Naota naimba hivi. Kila nikiimba huo wimbo unakuwa na merod nzuri sana. Kila nikiimba ndotoni wimbo unakuwa mzuri sana. Mara moja moja nikishtuka nafanikiwa kujirecod kwenye simu vile nilivyokuwa naimba ndotoni.
Kusema na MUNGU inahitaji kuwa msafi sana.Ni kazi unless ukiwa mazingira ya mchana ukutane na kitu kilichokuwa kwenye ndoto inaweza kukusaidia kukumbuka.
Kama ni muamini Mwombe Mungu akukumbushe maana Yeye husema na watu wake kwa kupitia ndoto.
Kuna mda mwingine kweli unaota ndoto inatisha balaa,yani hadi ukiamka unashukuru ile ni ndoto tu.Mimi nikiota
Sometimes nipo kwenye ndoto najua kabisa ninaota
Kama ni ya kutisha nafosi nishtuke usingizini japo inakuwa ngumu kama mwili vile umekakamaa
Ikiwa ni nzuri nafosi muendelezo sometimes nashindwa ku control narration
Nashtuka usingizini kesho naifosi hio ndoto naiota tena naendelea muendelezo
KRISTO huwa anasema na sisi kwa njia ya ndoto sana.Ndoto ni nyingi mojawapo ni hii
Tarehe 28.8.2021 wakati korona imepamba moto niliota nachanjwa chanjo ya korona usingizini, nilipoamka nilikuta matobo mawili mkono wa kushoto, niliyapiga picha na makovu yapo mpaka leo.
Wakati mwingi naota naimba yaani naimba nyimbo za Mungu, its wonderful.
Hata wazazi wangu walipokaribia kufariki niliota, though walifariki miaka tofauti.
Majuzi hapo rafiki yangu aliyefariki kwa korona ambaye aliniaga na siku ya tatu akafariki niliota ananiambia waambie wajengee kaburi, nilipofuatilia kweli lilikuwa halijajengewa japo alifariki one year ago nimewapa habari (was my friend in Jesus Christ )
InawezekanaKumbe unaweza kufosi ndoto hii kali nayo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Cjui kuendesha vyombo vya moto ila kwenye ndoto naviburuza kichizi ani