Kuku Wangu hatagi

Mchinje kula nyama mkuu. Mayai yake utakuwa umeyafaidi si yapo ndani hayataki kutoka
 
Mchunguze huenda anakula
Baada ya kutaga
 
Atakua na upungufu wa vitamin, mnunulie Vitamin au kuna dawa inaitwa Egg Booster, wanayotumia wafugaji wa kuku wa mayai
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…