Kuku Wangu hatagi

godizila

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
846
Reaction score
387
Wakuu habarini za asubuhi Nina Kuku wangu tetea alitaga mzao Wa kwanza mayai 8 akakataa kuyatamia

Ilipofika muda Wa kutaga mzao wake Wa pili alianza kutetea kwa kasi sana na akitaka kutaga anaingia mahali pa kutagia anakaa hapo karibu nusu SAA anatoka nje bila kutaga yai hali hii imejirudia sana takribani wiki ya tatu sasa ......

Naomba ushauri wenu wakuu

NB; usiwe kuchinja
 
Ulishawahi kumpoka mayai..? Labda ana stress. kuna vet mmoja aliniambia bata na kuku wakiwa na stres hawatagi wala kukua vizur. Wabadilishie mazingira.

Au wauze ununue wengine. Ikishindikana ni kisu tu
 
Mchinje ucheki tumboni kama ana kizazi bado. Halafu si ununue mwingine kuku mmoja tu tasa unakuja kumwanzishia topiki mie nilijua banda zima hawatagi
 
Ulishawahi kumpoka mayai..? Labda ana stress. kuna vet mmoja aliniambia bata na kuku wakiwa na stres hawatagi wala kukua vizur. Wabadilishie mazingira.

Au wauze ununue wengine. Ikishindikana ni kisu tu
Hakukubali kuyatamia kwa hiyo nilikula mayai yake.
 
Uchungu hauja kolea , muache ache kidogo , uchungu ukikolea ata taga mwenyewe bila kupenda
 
Mpige nao mwenyewe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…