hapo sawa, fanya bei sasa wateja waje make kuku wengi wanatoa kwa TZS 15,000/=Haitalipa mkuu nishaongeza vinyamanyama
Nahitaji wawili nipo DarNauza kuku kuazia Tsh 20,000/=, chotara(Tanbro) wana miezi mitano uzito kuanzia kg3 hadi 5 napatikana Tengeru Arusha
Karibuni sana🙏
sawa mkuu nilidhani unatuma mikoani.Asante mkuu samahani sitoweza kukuhudumia, nahudumia waliopo Arusha
Comrade, tuwekee pia na picha za hao kuku na mawasiliano yako. Si unajua tena Eid inakaribia.Nauza kuku kuazia Tsh 20,000/=, chotara(Tanbro) wana miezi mitano uzito kuanzia kg3 hadi 5 napatikana Tengeru Arusha
Karibuni sana🙏