Kuku wamayai wamenipa faida

Kuku wamayai wamenipa faida

maji tu

Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
7
Reaction score
21
Nilianza safari ya ufugaji mwaka Jana mwenzi wa sita kwakununua vifaranga mia kila kifaranga nilinunua elfu mbili na miasita niliweza kupambana navo katika vifaranga mia vilikufa vifaranga vitano tu saiv nimefikia kuokota trei mbili kwa siku naziuza nakupata elfu kumi na nne kwa siku kwakweli hapo nimevipaka vyuma grisi vimelainika Maisha yanaenda tu nimekubali ufugaji unalipa
 
Tehetehe tehe vyuma vimebana KWA hiyo unakuku 95,,na ulinunua 100,,hongera
 
Nilianza safari ya ufugaji mwaka Jana mwenzi wa sita kwakununua vifaranga mia kila kifaranga nilinunua elfu mbili na miasita niliweza kupambana navo katika vifaranga mia vilikufa vifaranga vitano tu saiv nimefikia kuokota trei mbili kwa siku naziuza nakupata elfu kumi na nne kwa siku kwakweli hapo nimevipaka vyuma grisi vimelainika Maisha yanaenda tu nimekubali ufugaji unalipa
Aina gani ya kuku hao mkuu?
 
huu uzi ungekuwa mzuri sana kama mleta mada angekaa atulize akili vizuri aandike ni jinsi gani anapata faida.
1. atueleze hao vifaranga alikuza kwa mda gani mpaka wakaanza kutaga ?
2. umesema vilikufa vitano , kwa maana hiyo unao kuku 95, je kwa idadi unayoisema unapata mayai 60(trei 2) kwa siku huoni kwamba ni kiasi kidogo sana ? kuku kama 45 hawatagi, kuna shida hapo, aidha kwenye chakula au vinginevyo, unashauriana na wataalam wa mifugo ? wamekushaurije ?
3. kwa siku wanakula wastan wa chakula kiasi gani ? bei ?

ungejitahidi kutuwekea huu mnyumbuliko na sisi wengine tufaidi, ukiishia kutuambia unapata 14000 kwa siku hiyo haitoshi kuhamasisha, kuna gharama nyingi za kuendesha huu mradi.

kila la kheri mkuu, hongera kwa uwekezaji .
 
huu uzi ungekuwa mzuri sana kama mleta mada angekaa atulize akili vizuri aandike ni jinsi gani anapata faida.
1. atueleze hao vifaranga alikuza kwa mda gani mpaka wakaanza kutaga ?
2. umesema vilikufa vitano , kwa maana hiyo unao kuku 95, je kwa idadi unayoisema unapata mayai 60(trei 2) kwa siku huoni kwamba ni kiasi kidogo sana ? kuku kama 45 hawatagi, kuna shida hapo, aidha kwenye chakula au vinginevyo, unashauriana na wataalam wa mifugo ? wamekushaurije ?
3. kwa siku wanakula wastan wa chakula kiasi gani ? bei ?

ungejitahidi kutuwekea huu mnyumbuliko na sisi wengine tufaidi, ukiishia kutuambia unapata 14000 kwa siku hiyo haitoshi kuhamasisha, kuna gharama nyingi za kuendesha huu mradi.

kila la kheri mkuu, hongera kwa uwekezaji .

Safi, umepita mule mule nilimo taka
Cc maji tu
 
huu uzi ungekuwa mzuri sana kama mleta mada angekaa atulize akili vizuri aandike ni jinsi gani anapata faida.
1. atueleze hao vifaranga alikuza kwa mda gani mpaka wakaanza kutaga ?
2. umesema vilikufa vitano , kwa maana hiyo unao kuku 95, je kwa idadi unayoisema unapata mayai 60(trei 2) kwa siku huoni kwamba ni kiasi kidogo sana ? kuku kama 45 hawatagi, kuna shida hapo, aidha kwenye chakula au vinginevyo, unashauriana na wataalam wa mifugo ? wamekushaurije ?
3. kwa siku wanakula wastan wa chakula kiasi gani ? bei ?

ungejitahidi kutuwekea huu mnyumbuliko na sisi wengine tufaidi, ukiishia kutuambia unapata 14000 kwa siku hiyo haitoshi kuhamasisha, kuna gharama nyingi za kuendesha huu mradi.

kila la kheri mkuu, hongera kwa uwekezaji .
Hawa kuku Ndo wameanza kutaga kwaiyo utagaji unapanda manatokea wameanza kutaga wanamiezi miwili tokea wameanza kutaga ila utagaji kila siku unapanda ujashuka tokea wameanza kutaga
 
huu uzi ungekuwa mzuri sana kama mleta mada angekaa atulize akili vizuri aandike ni jinsi gani anapata faida.
1. atueleze hao vifaranga alikuza kwa mda gani mpaka wakaanza kutaga ?
2. umesema vilikufa vitano , kwa maana hiyo unao kuku 95, je kwa idadi unayoisema unapata mayai 60(trei 2) kwa siku huoni kwamba ni kiasi kidogo sana ? kuku kama 45 hawatagi, kuna shida hapo, aidha kwenye chakula au vinginevyo, unashauriana na wataalam wa mifugo ? wamekushaurije ?
3. kwa siku wanakula wastan wa chakula kiasi gani ? bei ?

ungejitahidi kutuwekea huu mnyumbuliko na sisi wengine tufaidi, ukiishia kutuambia unapata 14000 kwa siku hiyo haitoshi kuhamasisha, kuna gharama nyingi za kuendesha huu mradi.

kila la kheri mkuu, hongera kwa uwekezaji .

Tatizo liko hapo, yaani kuna watu anaweza kuwa anafanya biashara kama hiyo, haangalii gharama nyingine yoyote na muda wake, akipata kama hivyo 14,000 anaona yote ni faida. kumbe ukifuatilia unagundua huyu mtu anapata hasara kubwa.
 
Tatizo liko hapo, yaani kuna watu anaweza kuwa anafanya biashara kama hiyo, haangalii gharama nyingine yoyote na muda wake, akipata kama hivyo 14,000 anaona yote ni faida. kumbe ukifuatilia unagundua huyu mtu anapata hasara kubwa.
Hawa kuku wanakula laki moja na nusu kwa mwezi na kwasababu hiyo ninauza trei elfu Saba na kila siku naokota trei mbili jumla hizo trei mbili napata laki nne na ishirini toa chakula inayobaki Ndo faida yangu
 
Hawa kuku Ndo wameanza kutaga kwaiyo utagaji unapanda manatokea wameanza kutaga wanamiezi miwili tokea wameanza kutaga ila utagaji kila siku unapanda ujashuka tokea wameanza kutaga
Nilivuchukua vifaranga nimevifuga kwa muda wa mienzi minne na wiki mbili wakanza kutaga na wanataga kwa muda wa miaka miwili watakua wamemaliza kutaga bada ya hapo unawauza tena na kuku wenyewe
 
Hawa kuku wanakula laki moja na nusu kwa mwezi na kwasababu hiyo ninauza trei elfu Saba na kila siku naokota trei mbili jumla hizo trei mbili napata laki nne na ishirini toa chakula inayobaki Ndo faida yangu
Laki moja na nusu kwa mwezi kwenye chakula? Mkuu unawabania hao kuku upande wa chakula ndio maana kwa hesabu za haraka haraka kuna wengine wengi hawatagi.
 
Nilivuchukua vifaranga nimevifuga kwa muda wa mienzi minne na wiki mbili wakanza kutaga na wanataga kwa muda wa miaka miwili watakua wamemaliza kutaga bada ya hapo unawauza tena na kuku wenyewe
bado sana mkuu ili uweze kuona faida ya kuku wa mayai anzia kufuga kuku 600 apo ndo faida utaiona,lkn apo ndo kwanza uko darasani.
 
bado sana mkuu ili uweze kuona faida ya kuku wa mayai anzia kufuga kuku 600 apo ndo faida utaiona,lkn apo ndo kwanza uko darasani.
Bado naendelekea kuongeza mradi ninahamini utakua mkubwa kwasababu umeninogea nahamini utakua tu
 
huu uzi ungekuwa mzuri sana kama mleta mada angekaa atulize akili vizuri aandike ni jinsi gani anapata faida.
1. atueleze hao vifaranga alikuza kwa mda gani mpaka wakaanza kutaga ?
2. umesema vilikufa vitano , kwa maana hiyo unao kuku 95, je kwa idadi unayoisema unapata mayai 60(trei 2) kwa siku huoni kwamba ni kiasi kidogo sana ? kuku kama 45 hawatagi, kuna shida hapo, aidha kwenye chakula au vinginevyo, unashauriana na wataalam wa mifugo ? wamekushaurije ?
3. kwa siku wanakula wastan wa chakula kiasi gani ? bei ?

ungejitahidi kutuwekea huu mnyumbuliko na sisi wengine tufaidi, ukiishia kutuambia unapata 14000 kwa siku hiyo haitoshi kuhamasisha, kuna gharama nyingi za kuendesha huu mradi.

kila la kheri mkuu, hongera kwa uwekezaji .
umesema vyema
 
Nilianza safari ya ufugaji mwaka Jana mwenzi wa sita kwakununua vifaranga mia kila kifaranga nilinunua elfu mbili na miasita niliweza kupambana navo katika vifaranga mia vilikufa vifaranga vitano tu saiv nimefikia kuokota trei mbili kwa siku naziuza nakupata elfu kumi na nne kwa siku kwakweli hapo nimevipaka vyuma grisi vimelainika Maisha yanaenda tu nimekubali ufugaji unalipa


Habari mkuu,

Nimekielewa unachokifanya, nimepata somo pia. Natarajia kuinza safari kama uliyoianza wewe miezi kadhaa iliyopita. Nahitaji msaada wako wa mchanganuo wa gharama za chakula na ulishaji kwa kila hatua mpaka walipoanza utagaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom