We nenda soko la ilala, kuna kuku na kila kitu na bei ni poa kuliko masoko yote haa dar. Bei ni sh. 7000 tu. Nenda kajione na utakuwa unafanya shopping yako hapo hapo.
Karibu, unataka wa kufuga au wa kula? Nina majogoo ya kienyeji yapatayo 30 hivi nayatoa Krismas hii yote...ni makubwa yana miezi kama 8 hivi. Kama uko serious tu Piga 0762413132