Kuku chotara

Kuku chotara

culboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
526
Reaction score
48
Je wewe ni mjasiriamali na ungependa kufuga kwa faida fuga kuku chotara mayai yao utayauza ghaali pia wana nyama nyingi sana natotolesha vifaranga nakuuza karibu
 
Je wewe ni mjasiriamali na ungependa kufuga kwa faida fuga kuku chotara mayai yao utayauza ghaali pia wana nyama nyingi sana

Jina la kampuni....
Mko mkoa gani....
Huduma zp na zp mnazitoa.....
Pichaa...........
Bei...................
Mnapatikanaje......
je watu wa mbali wanawezaje kupata huduma zenu......
 
Je wewe ni mjasiriamali na ungependa kufuga kwa faida fuga kuku chotara mayai yao utayauza ghaali pia wana nyama nyingi sana natotolesha vifaranga nakuuza karibu
Mkuu POUTRY FARM naona ulikua unajifurahisha au sio!
 
Last edited by a moderator:
Hajifurahishi ni kweli anahusika na hizo shughuli za utotoreshaji na ufugaji wa kuku chotara. Natumai atakuja na majibu ya kukata kiu yenu. Wanapatikana mkuranga kwa mujibu wa page yao ya facebook.
 
Hata mimi nawaona mmechemsha wakuu mngelieka hata aina ya kuku
 
Je vifaranga ni shilingi ngapi?
wanapatikana wapi?
Je kuna ushauri kuhusiana na ufugaji kwa wanaoanza?
Poultry naomba msaada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom