Kg 1.4Huwa nikiona wateja hawaji, nachinja mmoja nanyonyoa then natembeza sample mahotelini na supermarkets kama ni wazuri lazima unapata order. Ila kama wamesumbua kukua sasa hapo ni mtihani. Wana uzito gani kwani?
Kuna wamiliki wa hotel wengine watakwambia tuna supplier wetu lakini wakiona kuku wako yuko vizuri wanakupa order na wewe. Komaa tu mkuu, Mungu atafanya njia!
Nkadhani wachinja unakula uwaonje kama ni watamu..doohhHuwa nikiona wateja hawaji, nachinja mmoja nanyonyoa then natembeza sample mahotelini na supermarkets kama ni wazuri lazima unapata order. Ila kama wamesumbua kukua sasa hapo ni mtihani. Wana uzito gani kwani?
Kuna wamiliki wa hotel wengine watakwambia tuna supplier wetu lakini wakiona kuku wako yuko vizuri wanakupa order na wewe. Komaa tu mkuu, Mungu atafanya njia!
Mkuu uliuza wote kwa jumla maana na mm kunzia kesho nitaanza kuuzaKama 1.8 milion