Habari za muda?
Kwa yeyote anayefahamu wanapouza vifaranga vya sasso vya miezi miwili au mmoja ndani ya Dodoma anifahamishe, au mwenye contact za mtu yeyote wa aliyepo Dodoma anayeuza anipatie, usisahau kunijulisha na Bei.
Nilipewa taarifa na mtu kuwa kuna dada yuko maeneo ya kwa waziri mkuu anauzaga lakini yule tu alonipa taarifa amesema alipoteza namba na hajui kwa huyo dada niw ap exactly, naileta kwa msaada tafadhali