Kuku aina ya broilers na chotara wapi wana soko?

Kuku aina ya broilers na chotara wapi wana soko?

cha mideko

Senior Member
Joined
Sep 16, 2017
Posts
103
Reaction score
76
Msaada jamn at kuku aina ya broilers na chotara wap wana soko sana naomben msaada kwa anaefahamu
 
Msaada jamn at kuku aina ya broilers na chotara wap wana soko sana naomben msaada kwa anaefahamu

Mkuu badilisha hiyo Avatar sababu watu wenye majibu mazuri yaweza kuwa hawataki kukujibu sababu ya Avatar yako
 
Msaada jamn at kuku aina ya broilers na chotara wap wana soko sana naomben msaada kwa anaefahamu


Kuku chotara wanauzika zaidi sababu wana ladha kuliko hao wengine kwa namna bei utakavyoiset. Kwa mfano bei ukaiset 10,000 kwa tetea na 15,000 kwa majogoo, tukija kwa Broiler hawa wana faida kubwa in profit per time kwa mikoani ambako bei yao ni 8,000.
 
Kuku chotara wanauzika zaidi sababu wana ladha kuliko hao wengine kwa namna bei utakavyoiset. Kwa mfano bei ukaiset 10,000 kwa tetea na 15,000 kwa majogoo, tukija kwa Broiler hawa wana faida kubwa in profit per time kwa mikoani ambako bei yao ni 8,000.
Kwa uzoefu wako hao broiler kwa dar soko lao likoje ?
 
Kwa uzoefu wako hao broiler kwa dar soko lao likoje ?

Dar wana soko kubwa sana kuliko hata huku mikoani sema sababu ya competition kubwa kwenye uzalishaji bei zinakuwa chini na faida kuwa minimum
 
Dar wana soko kubwa sana kuliko hata huku mikoani sema sababu ya competition kubwa kwenye uzalishaji bei zinakuwa chini na faida kuwa minimum
Unayosema ni kweli asee mi nna mwaka nafuga hawa broiler dar hapa... changamoto nyingi ushindani mwingi kuna muda soko linakua ovyo sana hasa kipindi hiki kila mtu ana kuku
 
Unayosema ni kweli asee mi nna mwaka nafuga hawa broiler dar hapa... changamoto nyingi ushindani mwingi kuna muda soko linakua ovyo sana hasa kipindi hiki kila mtu ana kuku

Watu hawaoni fursa hizo wakanunua hao kuku wakapeleka sehemu zenye uhitaji nje ya nchi huko Wabongo fursa wanaona ni kuiga biashara za watu zilizofanikiwa
 
Watu hawaoni fursa hizo wakanunua hao kuku wakapeleka sehemu zenye uhitaji nje ya nchi huko Wabongo fursa wanaona ni kuiga biashara za watu zilizofanikiwa
Kweli kabisa.... hapa naanza kukuna kichwa niifikirie hii biashara kwa jicho jingine maana kutegemea masoko haya ni kuumia tu hapo bado madalali hawakulalia bei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom