Hizo dawa za mafua ni mbadala wa gumboro au uliwapa tu,Nina vifaranga 400 ila nimekosa hiyo chanjo, soko lipo kaka muhimu wewe kulitafuta kwa bidii.Ni changamoto kweli... mi safari hii imebidi tu niwape dawa za mafua na kuharisha lakini nawaona kabisa hawajakua na vizuri na muda wa kuuzwa umefika... soko safari hii sio zuri kabisa kuku wako wengi sana
Hakuna mbadala kwa duka nililoulizia mimi... ila jaribu kuulizia maduka tofaut tofauti unaweza kuwapa nini badala ya gomboroHizo dawa za mafua ni mbadala wa gumboro au uliwapa tu,Nina vifaranga 400 ila nimekosa hiyo chanjo, soko lipo kaka muhimu wewe kulitafuta kwa bidii.
Nilivyo ambiwa Kwa kawaida hiz chanjo hazina mbadala hiyo kama hawajapata huo ugonjwa nishukuru, wakipata ndy hasara tena.Hakuna mbadala kwa duka nililoulizia mimi... ila jaribu kuulizia maduka tofaut tofauti unaweza kuwapa nini badala ya gomboro
Ni kweli kabisa mi hapa naunga unga wateja niwatoe hawa maana nawaona kabisa hawako strong sana wasije kunifiaNilivyo ambiwa Kwa kawaida hiz chanjo hazina mbadala hiyo kama hawajapata huo ugonjwa nishukuru, wakipata ndy hasara tena.
Nasikia wengine wanawaga Arv kama wanavyowapa kitimotoWakuu hivi ni booster gani iko vizuri zaidi kwa broiler... maana kuna mama mmoja kuku wake wakifika wiki tatu tu wako vizuri kuliko kawaida sijui hata anatumia nini
Hii nshu nshaisikia sana ila sijapata uhakikaNasikia wengine wanawaga Arv kama wanavyowapa kitimoto
Kweli ipo sokoniNimeisikia chanjo ya gumboro imeshaingia sokoni nenda ukaulizie leo kwenye maduka
Kuna wengine wanawapa booster ya kiti moto.Nasikia wengine wanawaga Arv kama wanavyowapa kitimoto
Dawa ya asili ipi hiyo nduguTumia njia ya dawa ya asili
Kuna wengine wanawapa booster ya kiti moto.
Twanga Jani LA alovera unga wao changanya na maji wape hakika hutajutia sharti maji yasichacbe yani yasilale ukiwa wanakunywa Siku hiyohiyo kwa muda wa week moja kila Siku asubuhi na jioni hutojutiaDawa ya asili ipi hiyo ndugu
Asante sana... vp ushawahi kusikia kuhusu kiwachanganyia na mlonge ?Twanga Jani LA alovera unga wao changanya na maji wape hakika hutajutia sharti maji yasichacbe yani yasilale ukiwa wanakunywa Siku hiyohiyo kwa muda wa week moja kila Siku asubuhi na jioni hutojutia
Chukua hata majani makubwa matatu yanatosha ,pia mlonge unasaidia kama kiti yake inapatikana maeneo hayo unaweza tumiaKw
Asante sana... vp ushawahi kusikia kuhusu kiwachanganyia na mlonge ?
Pia kwa maji ya lita kumi ni kiwango gani cha aloe vera
Asante kwa ushauri... sema changamoto hapo ni upimaji wa majani hayo... sasa hivi nna vifaranga 700 j3 vinatimiza wiki yakwanza nikipata source ya mlonge wa kutosha na aloe vera ntavianzishia wiki ya piliChukua hata majani makubwa matatu yanatosha ,pia mlonge unasaidia kama kiti yake inapatikana maeneo hayo unaweza tumia