Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,637
Naandika hii kuhusiana na ubishi kati ya Chadema na Msajili
Iko hivi,
Kwa mfano akidi ni watu kumi. Wapo saba,watatu hawapo.
1 Wanasema,"Kama watatu hawapo,ni halali kwetu kundelea na mkutano."
Wanaendelea na mkutano
Hiyo ni kosa inaitwa fabricated aims. Kusema " nadhani tunaweza tu kundelea" ni kufanya mambo with fabricated aims
2. Wanasema "Kama watatu hawapo,ni halali kwetu kundelea na mkutano?"
Wanaendelea na mkutano.
Hiyo ni kosa.
Inaitwa kufanya mambo with unsure aims.
3.Watatu hawapo, wanasema,"Kama watatu hawapo,acha wabaki huko huko waliko,watengane na sisi,wawe mbali na sisi."
Wanaendelea na mkutano.
Hiyo ni kosa.
Wanafanya mambo with divisive aims.
Likewise it applies kama watano hawapo na watano wapo.
Likewise it applies kama watatu wapo na saba hawapo
Iko hivi,
Kwa mfano akidi ni watu kumi. Wapo saba,watatu hawapo.
1 Wanasema,"Kama watatu hawapo,ni halali kwetu kundelea na mkutano."
Wanaendelea na mkutano
Hiyo ni kosa inaitwa fabricated aims. Kusema " nadhani tunaweza tu kundelea" ni kufanya mambo with fabricated aims
2. Wanasema "Kama watatu hawapo,ni halali kwetu kundelea na mkutano?"
Wanaendelea na mkutano.
Hiyo ni kosa.
Inaitwa kufanya mambo with unsure aims.
3.Watatu hawapo, wanasema,"Kama watatu hawapo,acha wabaki huko huko waliko,watengane na sisi,wawe mbali na sisi."
Wanaendelea na mkutano.
Hiyo ni kosa.
Wanafanya mambo with divisive aims.
Likewise it applies kama watano hawapo na watano wapo.
Likewise it applies kama watatu wapo na saba hawapo