Kukosa pesa [emoji17]

Kukosa pesa [emoji17]

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,778
Reaction score
2,052
Habari zenu, hivi hii inanitokea mimi tu au

Hivi kwanini mimi nikikosa hela mfukoni kabisa au hata kwenye akaunti, napatwa na hali hii

Naanza kuumwa kabisa, homa ya ghafla inanishika, naanza kutetemeka, nakuwa mnyonge sana.

Mawazo hayaishi, nakosa amani kabisa. Nikipandahata kitandani kulala, usingizi hauji hata kidogo.

Nakuwa na hasira nyingi, mkali sana, namjibu mtu hovyo, na wakati mwingine natamani kulia tuh nakuwa kama kichaa sio kichaa.

Nikipata pesa sasa :

Lakini la kushangaza ikatokea tu nikapata hela, hata iwe siku hiyo hiyo,

Mwili unakaa sawa mara moja, Ghafla ninakuwa na furaha muda wote, mtu akinipa swali namjibu kwa furaha, na amani ya moyo inarudi! Hali yote inabadilika papo hapo

Hivi wakuu ni mimi tuh au
 
Habari zenu,hivi hii inanitokea mimi tu au


Hivi kwanini mimi nikikosa hela mfukoni kabisa au hata kwenye akaunti, napatwa na hali hii

Naanza kuumwa kabisa, homa ya ghafla inanishika, naanza kutetemeka, nakuwa mnyonge sana.

Mawazo hayaishi, nakosa amani kabisa. Nikipandahata kitandani kulala, usingizi hauji hata kidogo.

Nakuwa na hasira nyingi, mkali sana, namjibu mtu hovyo, na wakati mwingine natamani kulia tuh nakuwa kama kichaa sio kichaa.


Nikipata pesa sasa :

Lakini la kushangaza ikatokea tu nikapata hela, hata iwe siku hiyo hiyo,

mwili unakaa sawa mara moja, Ghafla ninakuwa na furaha muda wote, mtu akinipa swali namjibu kwa furaha, na amani ya moyo inarudi! Hali yote inabadilika papo hapo

Hivi wakuu ni mimi tuh au
Wanaume wengi ndio hali tunayopitia tukiwa hatuna hela alafu majukumu debeee.. yaani mtu akikaa kizembe home anakula mbataaa..
 
Back
Top Bottom