Kukosa malezi ya baba kunanitesa sana.

mkuu umenikumbusha,nimekosa malezi ya baba,nikiwa mdg sikuona tatizo lolote lkn siku zilivyozidi kusonga nilianza kuhisi nakosa kitu flani,namiss uwepo wa baba.
Ingawa baba mlezi alikuwa ananipenda sana tena sana na hakuwahi kunitenga kwa moja wala mbili na ht majiran walijua alikuwa ni baba yng mzazi,alinilea tangu nikiwa na 4 yrs..mpk alipofariki last yr(r.i.p dady)..yote ktk yote nilimiss uwepo wa baba yng mzazi,.
Nikiwa na wenzangu na wanapoanza kuongea hbr za baba zao ghafla nakuwa mnyonge,nakuwa mdogo kama piriton na nitajitenga na wenzangu na kuanza kulia na by that time nilikuwa form 6.

Likizo moja nilimuambia mama mlezi"Mama kuna kitu nakitamani sana,ingawa najua it's too late kukipata na uwezekano haupo lkn natamani sana,natamani ningepata malezi ya baba mzazi"
mama alinihurumia sana na kuniasa nimshukuru Mungu kwa kila jambo na nimshukuru Mungu hata kwa baba mlezi alienipa(Mungu)
 
Mwanaume hata ukizaa na kichaa usiache kumtunza mtoto.
Wengi wetu tunaacha watoto tuliozaa na wanawake wengine wanateseka kwa kuogopa wake zetu na watoto wa ndani.
Maskini kumbe hao watoto tunaoona Ni wetu tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.

Ukiwa na mtoto popote pale be selfish.
Huyo asiyetaka mtoto atunzwe aachwe yeye.!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee pole sana, kumbe tupo wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa yaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unatakaje labda?
Je ukaishi na baba yako?
Je ungetamani uwakutanishe baba na mama yako uwaulize kwanini walikubaliana kukuchomekea baba mwingine?
Wakishakujibu ndiyo ufunguke sasa uwambie baada ya kujua hayo umejisikia kuumia moyo mwako sana,
Na kwamba umejitahidi kusahau lakini inakuwa ngumu,

Zungumza nao kwa kiasi usijepitiliza

Utapata ahueni kubwa sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante. Nitalifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
karibu 80% ya uliyoyapitia hata nami ndio niliokulia, ukweli ni kuwa simpendi baba angu hata kidogo. japo huwa anajitahidi kunipigia simu ila asipopiga hata zaidi ya mwaka huisha pasipo mimi kumtafta.. kwa sisi vijana tunaokuwa kwa sasa tuna kila haja ya kuepukana na mimba za utotoni maana ndio chanzo cha uadui na chuki baina ya wazazi wa kiume na watoto wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshukuru sana Mungu kwa kuwa hata sasa uko salama,

Wewe mbona uko vizuri sana tu!

Pambana uje kuanzisha familia uzao na kuwalea wanao kwa namna ambayo ungependa wewe ulelewe!

Nakushauri tafuta kujifunza kumjua Mungu hiyo itakusaidia sana!

Pendelea kwenda kanisani/msikitini kutegemeana na imani yako!

Jikite huko baada ya saa za kazi na week ends

Soma vitabu vya mahusino!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa yaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana wapendwa. Ila all in all maisha lazima yaendelee now.....kikubwa ni kumshukuru Mungu, kwa baraka zake zilizowafanya leo muwe hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…