Mimi ni mwanaume.Kuna tatizo limenitokea kupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa. Nakula na kulala vizuri wala sina mawazo yoyoe ila nimepoteza ghafla hamu yakufanya tendo la ndoa na mpenzi wangu tangu mwaka jana.
Tunaweza kulala naye kitanda kimoja kwa siku mbili mpaka tatu bila ya kuwa na hamu yoyote ya kushiriki naye tendo la ndoa.
Ushauri please nifanye nini ili nirudie hali yangu ya mwanzo.
Tunaweza kulala naye kitanda kimoja kwa siku mbili mpaka tatu bila ya kuwa na hamu yoyote ya kushiriki naye tendo la ndoa.
Ushauri please nifanye nini ili nirudie hali yangu ya mwanzo.