Kukosa haja kubwa naomba msaada

Kukosa haja kubwa naomba msaada

M.COLLINS

Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
18
Reaction score
7
Hivi nn kinasababisha hii hali? Maana ni week sasa halaf tumbon kunakuwa kama nimevimbiwa..wakat huu pia nipo kwenye dozi ya ciplo(typhoid).

Naomba msaada plz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda dula lolote la Asili lililokaribu na ww, kanunue kitu kinaitwa habbatmuluki, iko kama karanga kata ubale mmoja, huo ubale pia ukate robo, yaani kidogo tu kama kichembe, kimeze na maji

NB: UWE KARIBU NA CHOO NA MAJI YA KUTOSHA YA KUTAWAZA, NA USIENDE PAHALI POPOTE DAY HIO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1: Nunua ukwaju tengeneza juice yake kisha kunywa glass moja asubuhi mchana na jioni.

2:kuna punje moja hivi ya mbegu ya mnyonyo kitu kama hiyo itafute kwa wamasai kisha itafune. Hakikisha upo karibu na toilet
 
Hivi nn kinasababisha hii hali? Maana ni week sasa halaf tumbon kunakuwa kama nimevimbiwa..wakat huu pia nipo kwenye dozi ya ciplo(typhoid).

Naomba msaada plz

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nakupa sayansi kidogo.

Dawa ya typhoid unayomeza ni wazi ni mojawapo ya antibiotics. Sasa kazi ya antibioitics ni kuua bacteria wanaosabibisha huo ugonjwa. Bahati mbaya ni kwamba mara nyingi dawa hizi hazichagui aina ya bacteria wa kuua. Hivyo wakati ikishambulia bacteria wa ugonjwa huua na kupunguza wale bacteria rafiki wanaohusika na mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na usafirishaji hadi kwenye utumbo mpana. Kwa mantiki hiyo, kuna kuwa na mlundikano wa kinyesi katika utumbo mpana. Kadri kinavyozidi kukaa kwenye utumbo mpana ndivyo ambavyo majimaji huendelea kufyonzwa zaidi na kukifanya kuwa kikavu na hivyo kuwa vigumu kusafiri hadi sehemu ya kutolea haja kubwa.


Kupunguza hali hiyo. Kula vyakula vya majimaji zaidi, mfano; matunda (hasa mapapai na parachichi) na mboga za majani. Pia unashauriwa kunywa maji mengi mara kwa mara. Kama hali haitengemai nenda duga la madawa wakupe dawa za kulainisha choo. Dawa hizo ni group la probiotics. Hizi husaidia kuongeza wale bacteria rafiki wanaohusika na umeng'enyaji wa chakula katika utumbo mwembaba na mpana. Nadhani nimekusaidia kiasi kuelewa chanzo cha tatizo lako.
 
Mkuu nakupa sayansi kidogo.

Dawa ya typhoid unayomeza ni wazi ni mojawapo ya antibiotics. Sasa kazi ya antibioitics ni kuua bacteria wanaosabibisha huo ugonjwa. Bahati mbaya ni kwamba mara nyingi dawa hizi hazichagui aina ya bacteria wa kuua. Hivyo wakati ikishambulia bacteria wa ugonjwa huua na kupunguza wale bacteria rafiki wanaohusika na mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na usafirishaji hadi kwenye utumbo mpana. Kwa mantiki hiyo, kuna kuwa na mlundikano wa kinyesi katika utumbo mpana. Kadri kinavyozidi kukaa kwenye utumbo mpana ndivyo ambavyo majimaji huendelea kufyonzwa zaidi na kukifanya kuwa kikavu na hivyo kuwa vigumu kusafiri hadi sehemu ya kutolea haja kubwa.


Kupunguza hali hiyo. Kula vyakula vya majimaji zaidi, mfano; matunda (hasa mapapai na parachichi) na mboga za majani. Pia unashauriwa kunywa maji mengi mara kwa mara. Kama hali haitengemai nenda duga la madawa wakupe dawa za kulainisha choo. Dawa hizo ni group la probiotics. Hizi husaidia kuongeza wale bacteria rafiki wanaohusika na umeng'enyaji wa chakula katika utumbo mwembaba na mpana. Nadhani nimekusaidia kiasi kuelewa chanzo cha tatizo lako.
Nimepata kitu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usihofu
Tafuta wamasai walipo
Nunua ugoro ni jero tu.
Rudi kwako. Kunywa maji kwanza.
Chukua ugoro KIASI weka kati ya fizi na lips
Funga mdomo na mate yakijaa usimeze tema.
Kaa dakika 3 utasikia choo kinakuita.
Ukimaliza kutoa gogo la wiki toa na ugoro sukutua na maji gonga na maji ya kutosha

Thank me later. Simple and clear.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi nn kinasababisha hii hali? Maana ni week sasa halaf tumbon kunakuwa kama nimevimbiwa..wakat huu pia nipo kwenye dozi ya ciplo(typhoid).

Naomba msaada plz

Sent using Jamii Forums mobile app

Juz mdogo wangu alikua na the same issue, nikampeleka pale Tayma dispensary Sabasaba kuna mtaalamu wa hzo mambo. Japo alichelewa kufika maana tuliset appointment nae saa 11 na yeye alifka saa 3 usiku lakn ndan ya nusu saa alikua ameshamfanyia mambo dogo kashusha mzigo mkubwa wa wiki nzima na kapona hapo hapo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom