Kukopa Fanikiwa Microfinance

Ni kweli microfinance nyingi huwa wanatafuta faida kubwa kwa kuwaminya wateja ni bora kwenda bank moja kwa moja au saccos.
 

Sijaelewa au ni nini..... Yani m5 unarudisha 300k+ two years!????


Mbona haiwezekani. Embu mpigie simu akueleweshe vizuri.
 
Ujambazi uliotukuka.....!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…