Barakaeli174
Senior Member
- Aug 2, 2015
- 171
- 142
Wataalamu wa Afya naomba msaada,
huwa nikilala nikipigwa na baridi ile inaanza tu basi nakohoa sana ila nikijifunika basi sikohoi tena, hata nikikaa nje na baridi ikianza kuwa kali nakohoa hadi ntakapokuwa nimejifunika vizuri, nikikaa ndani kwenye chumba ambacho hakina hewa ya kutosha nashikwa na mafua makali sana nikitoka nje basi yanaisha hilo hunifanya nilale dirisha wazi. Naomba kujua kama nahitaji dawa au nimekuwa mbovu kwenye mapafu maana wengine hawakohoi kama mm pamoja na kuwa wote tupo sehem moja. Swali lingine je umri wangu wa miaka 38 pia ni rahisi kupatwa na tatizo kama hili. Naomba msaada wakujua kwanini hili linanitokea, na dawa ni ipi ili kumaliza tatizo hili.
Asanteni.
huwa nikilala nikipigwa na baridi ile inaanza tu basi nakohoa sana ila nikijifunika basi sikohoi tena, hata nikikaa nje na baridi ikianza kuwa kali nakohoa hadi ntakapokuwa nimejifunika vizuri, nikikaa ndani kwenye chumba ambacho hakina hewa ya kutosha nashikwa na mafua makali sana nikitoka nje basi yanaisha hilo hunifanya nilale dirisha wazi. Naomba kujua kama nahitaji dawa au nimekuwa mbovu kwenye mapafu maana wengine hawakohoi kama mm pamoja na kuwa wote tupo sehem moja. Swali lingine je umri wangu wa miaka 38 pia ni rahisi kupatwa na tatizo kama hili. Naomba msaada wakujua kwanini hili linanitokea, na dawa ni ipi ili kumaliza tatizo hili.
Asanteni.