Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,693
- 3,820
Dltd
Ni Mara ya kwanza kwako kuona umeme umekatika? Unategemea umeme ukikatika Kiwalani uukatike nchi nzima? Think twice before posting this kind of shit
acha uzezeta wako kama ulikuwa hujui mantiki ya swali ungekaa kimya basi
Habari waungwana,huku kwetu maeneo ya kiwalani umeme umekatika toka saa 7 usiku na haujarudi hadi muda huu,ni huku kwetu tu au kuna tatizo la kiufundi limetokea na kuathiri maeneo mengine pia.
Usituletee ugolo wako hapa na kujiaminisha kwa wengine ni mazezeta, umetumia kipimo gani kujua uzezeta wangu? Tanesco number zao ziko wazo 24/7 wapigie uwaulize km Kuna tatizo. Na ili kujua kuwa umeleta utumbo hapa hutapata msaada zaidi kuendelea lugha zako za matusi ya huko Vingunguti.
Habari waungwana,huku kwetu maeneo ya kiwalani umeme umekatika toka saa 7 usiku na haujarudi hadi muda huu,ni huku kwetu tu au kuna tatizo la kiufundi limetokea na kuathiri maeneo mengine pia.
Ni Mara ya kwanza kwako kuona umeme umekatika? Unategemea umeme ukikatika Kiwalani uukatike nchi nzima? Think twice before posting this kind of shit
Pole ILA Nakutia NDIMU Wenzetu Marekani Umeme Ulikatika Tena Kwa Bahati Mbaya Tu Mnamo Mwaka 1947 Na Ni Kwa Sekunde 3 Tu Na Kupelekea Waziri Wao Wa Masuala Ya Nishati Hiyo Ya Umeme Kujiuzuru. Sasa Nakuuliza AU Nawaulizeni Kwetu Hapa Bongoland Mara Ya Mwisho Kukaa Bila Umeme Kutukatikia Ilikuwa Ni Lini? Nipeni Kumbukumbu Zenu! Na Hapa Ndiyo Naamini Kuwa MZUNGU Ni Mungu Kwani ktk Neno Hilo La MZUNGU Ukitoa AU Kuondoa Hiyo Herufi " Z " Inabaki Nini?
Pole ILA Nakutia NDIMU Wenzetu Marekani Umeme Ulikatika Tena Kwa Bahati Mbaya Tu Mnamo Mwaka 1947 Na Ni Kwa Sekunde 3 Tu Na Kupelekea Waziri Wao Wa Masuala Ya Nishati Hiyo Ya Umeme Kujiuzuru. Sasa Nakuuliza AU Nawaulizeni Kwetu Hapa Bongoland Mara Ya Mwisho Kukaa Bila Umeme Kutukatikia Ilikuwa Ni Lini? Nipeni Kumbukumbu Zenu! Na Hapa Ndiyo Naamini Kuwa MZUNGU Ni Mungu Kwani ktk Neno Hilo La MZUNGU Ukitoa AU Kuondoa Hiyo Herufi " Z " Inabaki Nini?
You are totally wrong.Pole ILA Nakutia NDIMU Wenzetu Marekani Umeme Ulikatika Tena Kwa Bahati Mbaya Tu Mnamo Mwaka 1947 Na Ni Kwa Sekunde 3 Tu Na Kupelekea Waziri Wao Wa Masuala Ya Nishati Hiyo Ya Umeme Kujiuzuru. Sasa Nakuuliza AU Nawaulizeni Kwetu Hapa Bongoland Mara Ya Mwisho Kukaa Bila Umeme Kutukatikia Ilikuwa Ni Lini? Nipeni Kumbukumbu Zenu! Na Hapa Ndiyo Naamini Kuwa MZUNGU Ni Mungu Kwani ktk Neno Hilo La MZUNGU Ukitoa AU Kuondoa Hiyo Herufi " Z " Inabaki Nini?
Ni Mara ya kwanza kwako kuona umeme umekatika? Unategemea umeme ukikatika Kiwalani uukatike nchi nzima? Think twice before posting this kind of shit
Hiyo ni lugha nyepesi kwa jambo zito toka juzi uck hadi sasa haujarudi tayari yamepita hadi sasa masaa 30.na hatujui chochote kinachoendelea we hapo unaona ni jambo la kawaida eneo kubwa tangu tazara,airport,ukonga yote.
Ni Mara ya kwanza kwako kuona umeme umekatika? Unategemea umeme ukikatika Kiwalani uukatike nchi nzima? Think twice before posting this kind of shit