Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,467
- 7,258
Unajua watu wengine ni wavivu kunywa maji..kwa hiyo unakuta haja kubwa inakuwa ngumu sana kama mawe so inabidi atumie muda mwingi ku-release hayo mawe na aki-force ataumia.....
hivi hizo nyota nyota inamaanisha K-U-N-Y-A-?
Hivi hizo nyota nyota zajieka zenyewe Mzizi maana na mie naona imekuwa nyota nyota badala ya neno lenyewe au ndo tekinolojia mshamba mie sijui???
No sio hivyo inamaanisha c-h-o-o-n-i
Unajua watu wengine ni wavivu kunywa maji..kwa hiyo unakuta haja kubwa inakuwa ngumu sana kama mawe so inabidi atumie muda mwingi ku-release hayo mawe na aki-force ataumia.....
Hizo ***** sema msalani/******/toilet/bathroom/ladies room/gents room etc
Halafu ile ni starehe asikwambie mtu inahitaji focus na kutulia to do it right. problem ni kama mnashare kama ulivyosema lakini all in all ile si sehemu ya kuingia kwa mbio mbio.
jamani asikwambie mtu kunastarehe yake unapokwenda kudownloud na kupload uitaji haraka inategemea na speed ya mtu na choo chenyewe kama kichafu ata kama unapenda vp kudouwnloud taratibu siku hiyo utafanya fasta ila kama choo kisafi nimeingia akiyanani lazima utajichafua mana utabana mpaka utaachia mwenyewe me aka nashusha vituz