Unajua hili Gazetti la Dira sijui kama mhariri wake huwa anahangaisha ubongo wake kutafuta habari,wanakaa kwenye korido wanatunga habari,Lowwassa hawezi kuikimbia ccm,ni chama chake na nakuhakikishia anakubalika kuliko unavyojua,acheni umbea nyie Dira,Lowwassa ni jembe na mnamuogopa ndo mana kutwa mnamwandika,tuachieni Mzee wetu Nyambafu zenu.