DA kaz sana mkubwa ,ila kama wwe una fan ya udaktar na baadh engeneearing course huwa wanatangazaga nafasi na watu huenda mondul kusomea uafisa course ya nyota mbil,lakin kama wwe una fan ya kawaida unaanzia JKT kwa kujitolea miaka 2 ndo uende JW
Penye nia pana njia MTU wangu.jikaze lazima hupite jkt kwanza miezi sita ndipo husubiri interview ya jwtz ndani ya miaka miwili hukiwa jkt
jaman mbna kuna mkanganiko apo xx miez 6 au miaka 2
Yahani mahana yangu hunapo hingi jkt,lazima hupate mafunzo ya miezi sita.ndipo hunafanya kazi ndani Jkt kwa mkataba wa miaka miwili.sasa ndani ya hiyo miaka miwili jwtz huwa wana kuja kufanya interview kwa wahitimu wa jkt.so silazima hukae miaka miwili,hunaweza kukahaa hata miwezi miwili au hata miezi 21 hukapata hajila jwtz hinategemea na badget zao walizo panga.nazani humenipata mkubwa
nimekuelewa brother samhn lbda ungenisaidia utaratib wa kujiunga km itawezekana nataka niingie january
Umesoma nini, una umri gani, una vyeti vyote muhimu? Apply JKT Jan mwishoni 15.
Umesoma nini, una umri gani, una vyeti vyote muhimu? Apply JKT Jan mwishoni 15.
DA kaz sana mkubwa ,ila kama wwe una fan ya udaktar na baadh engeneearing course huwa wanatangazaga nafasi na watu huenda mondul kusomea uafisa course ya nyota mbil,lakin kama wwe una fan ya kawaida unaanzia JKT kwa kujitolea miaka 2 ndo uende JW
Acha uongo,usiongee vitu usivyovijua,mm nina washkaji zangu kibao ni maengeners,lawyers,accountants teachers allmost all professionals wamepitia kanembwa na bulombola wamehenya sana kwenye ukuruta na sasa hv wamekatwa mabogi ya mtabila,mgulani,mbweni,kimbiji na MMJKT wanasubiri usaili wa kwenda TPDF na baada ya.kuhenya todd kwa muda wa miezi minne ndi wengine wanaweza kubaatika kwenda minduli moja kwa moja au kwenda level three ya todf kabla ya kwenda monduli.jipange brother hakuna kwenda monduli moha kwa moja mpaka uhenye kwenye uzalendo,ukuruta na userviceman.for more info pm me
jaman mbna kuna mkanganiko apo xx miez 6 au miaka 2
Acha uongo,usiongee vitu usivyovijua,mm nina washkaji zangu kibao ni maengeners,lawyers,accountants teachers allmost all professionals wamepitia kanembwa na bulombola wamehenya sana kwenye ukuruta na sasa hv wamekatwa mabogi ya mtabila,mgulani,mbweni,kimbiji na MMJKT wanasubiri usaili wa kwenda TPDF na baada ya.kuhenya todd kwa muda wa miezi minne ndi wengine wanaweza kubaatika kwenda minduli moja kwa moja au kwenda level three ya todf kabla ya kwenda monduli.jipange brother hakuna kwenda monduli moha kwa moja mpaka uhenye kwenye uzalendo,ukuruta na userviceman.for more info pm me
Ebwana Nitafikaje Huko Minduli???????????????????????