Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Juzi nimemsikia mbunge wa ilala bwana Zungu akiipigia debe kodi ya uzalendo. Binafsi siiungi mkono kodi hiyo kwani wananchii tuna kodi nyingi sana tunalipa pamoja na uchumi wa wananchi kuwa ni duni.
Pendekezo langu kwa wabunge nawashauri kwa kuwa wao ni wawakilishi wa wananchi basi waanze wao kutuonyesha uzalendo kwa kukubali kupunguziwa mishahara yao na mafao kwa asilimia 15% tu ili fedha hizi ziwe zinaenda kwenye miradi ya maendeleo ya majimbo yao na baada ya miaka 5 yale mafao yao nayo yakatwe asilimia 20%ili nazo ziende kwenye majimbo yao kwani ndiyo yaliyowawezesha wao wabunge kuvuna mafao hakika huo utakuwa uzalendo wa kujitoa muhanga kwa wabunge wetu.
Pendekezo langu kwa wabunge nawashauri kwa kuwa wao ni wawakilishi wa wananchi basi waanze wao kutuonyesha uzalendo kwa kukubali kupunguziwa mishahara yao na mafao kwa asilimia 15% tu ili fedha hizi ziwe zinaenda kwenye miradi ya maendeleo ya majimbo yao na baada ya miaka 5 yale mafao yao nayo yakatwe asilimia 20%ili nazo ziende kwenye majimbo yao kwani ndiyo yaliyowawezesha wao wabunge kuvuna mafao hakika huo utakuwa uzalendo wa kujitoa muhanga kwa wabunge wetu.