Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,207
- 3,059
una ubongo wa mende!!kuchungulia chungulia pa***ch
Naomba Niulize hivi kampuni kubwa ya Simu za mkononi tigo hawajui udanganyifu unaofanya na watu kupitia line zao za tigo au wao wenyewe wanainjinia huu utapeli?
Kuna application inaitwa Ms(Tanzania Telebox ambayo inajinadi kuwa wanaweza kukupa information za mawasiliano ya MTU wako Wa karibu lakini ukitaka kupata activation code unaambiwa ulipie 45,000= nimelipia but mpaka Leo sijaipata.
Naomba anayeijua hii Huduma atupe ushuuda na kampuni ya tigo wachukue hatua na kuwajulisha Wateja wake juu ya huu utapeli maana namba yao IPO publically na imesajiliwa.View attachment 544755
Sent from my PHANTOM5 using JamiiForums mobile app
Naomba Niulize hivi kampuni kubwa ya Simu za mkononi tigo hawajui udanganyifu unaofanya na watu kupitia line zao za tigo au wao wenyewe wanainjinia huu utapeli?
Kuna application inaitwa Ms(Tanzania Telebox ambayo inajinadi kuwa wanaweza kukupa information za mawasiliano ya MTU wako Wa karibu lakini ukitaka kupata activation code unaambiwa ulipie 45,000= nimelipia but mpaka Leo sijaipata.
Naomba anayeijua hii Huduma atupe ushuuda na kampuni ya tigo wachukue hatua na kuwajulisha Wateja wake juu ya huu utapeli maana namba yao IPO publically na imesajiliwa.View attachment 544755
Sent from my PHANTOM5 using JamiiForums mobile app