a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,966
- 2,200
Ni Kujinajisi kwa kujizini mwenyewe au KUJICHUA.
Ni unaangia maagano ya ndoa na mapepo ,lakini unapoteza baraka, zako zinaibiwa na mapepo ,nguvu ya maombi inafifia/inapungua,unavamiwa na maroho ya uharibifu..unakuwa mtumwa wa kujichua mara kwa mara na kuwaka tamaa ya kutamani uzinzi mara kwa mara ,na kuangalia picha na video za ngono..unakuwa mtumwa wa uzinzi..kila unapojizini unapoteza nguvu za kiroho baraka zako nguvu za maombi maisha yako ya kiroho yanafifia,ila pia roho za uharibifu na mikosi madeni na umaskini,magonjwa n.k zinakuvaa..maana adui unampa uhalali wa kukutawalabna kukumiliki..
lakini pia hata maisha yako ya ndoa yanatetereka mana tayari unakuwa umeshafunga ndoa na mapepo ndoa yako inaweza kuwa na migogori.
pia utakuwa unaota ndoto unazini ndotoni mara kwa mara.
hali ikiwa mbaya kuna watu wanajizini hata zaidi ya mara moja kwa siku..ni kifungi kibaya kina uraibu au ulevi addiction kama mtumiaji wa madawa ya kilevya au pombe na sigara anakuwa mtumwa wa hio dhambi..
kujizini ni hatari kwako na kizazi chako mana zile mbegu zako mapepo yanachukua ni DNA taarifa zako za siri kuhusu wewe na kizazi chako..zimebeba DNA yako inayo onyesha siri ya nguvu zako na udhaifu wako..mapepo yanachukua unayapa siri ya DNA yako na kizazi chako..
lakini ukiamua kwa kweli ukakata shauri ya kuacha kujizini...acha kuangalia picha za ngono..video za ngono..mtii Mungu mpinge shetani naye atakukimbia"
mapepo yataondoka yatakuvua na pete zao katika vidole vyako yalizokuvalisha katika ulimwengu wa ROHO.
Ni unaangia maagano ya ndoa na mapepo ,lakini unapoteza baraka, zako zinaibiwa na mapepo ,nguvu ya maombi inafifia/inapungua,unavamiwa na maroho ya uharibifu..unakuwa mtumwa wa kujichua mara kwa mara na kuwaka tamaa ya kutamani uzinzi mara kwa mara ,na kuangalia picha na video za ngono..unakuwa mtumwa wa uzinzi..kila unapojizini unapoteza nguvu za kiroho baraka zako nguvu za maombi maisha yako ya kiroho yanafifia,ila pia roho za uharibifu na mikosi madeni na umaskini,magonjwa n.k zinakuvaa..maana adui unampa uhalali wa kukutawalabna kukumiliki..
lakini pia hata maisha yako ya ndoa yanatetereka mana tayari unakuwa umeshafunga ndoa na mapepo ndoa yako inaweza kuwa na migogori.
pia utakuwa unaota ndoto unazini ndotoni mara kwa mara.
hali ikiwa mbaya kuna watu wanajizini hata zaidi ya mara moja kwa siku..ni kifungi kibaya kina uraibu au ulevi addiction kama mtumiaji wa madawa ya kilevya au pombe na sigara anakuwa mtumwa wa hio dhambi..
kujizini ni hatari kwako na kizazi chako mana zile mbegu zako mapepo yanachukua ni DNA taarifa zako za siri kuhusu wewe na kizazi chako..zimebeba DNA yako inayo onyesha siri ya nguvu zako na udhaifu wako..mapepo yanachukua unayapa siri ya DNA yako na kizazi chako..
lakini ukiamua kwa kweli ukakata shauri ya kuacha kujizini...acha kuangalia picha za ngono..video za ngono..mtii Mungu mpinge shetani naye atakukimbia"
mapepo yataondoka yatakuvua na pete zao katika vidole vyako yalizokuvalisha katika ulimwengu wa ROHO.