Sawa sikatai, pia inategemea kazi za aina gani anazofanya huko ,sidhani kama anafanya kitu kikubwa sana zaidi ya web development. Maana wengi ndio hua kazi zao. Wapo wachache ambao wanakiweza wanafanya zaidi, na wengi wanakua na elimu kwenye technical field nyingine hasa mathematics na engineering.
Course ya Cs/ce ile yenyewe hainaga cha utelezi,utelezi upo kwa hao wanaokariri tu programming language ndo maana unaskia mtu anajifunza syntax mwaka mmoja alafu anajiita engineer. Na ndo maana wanaiogopa sana njia ya canan wanapita shortcutBinadamu hatufanani mkuu kama wewe unaona kuna ugumu kwenye jambo fulani ni wewe usidhani wote tunapita kwenye njia moja kila mtu ananjia yake na ugumu wako kwa mwingine unaweza kuwa ndo utelezi
Unapokosea ni pale unapomwita degree holder kwamba ni programmer... Anybody can be a programmer.. Programming is just a tool.. Anybody can learn how to use code..Course ya Cs/ce ile yenyewe hainaga cha utelezi,utelezi upo kwa hao wanaokariri tu programming language ndo maana unaskia mtu anajifunza syntax mwaka mmoja alafu anajiita programmer. Na ndo maana wanaiogopa sana njia ya canan wanapita shortcut
Chini ya mwembe ndugu.Umesomea wapi ndugu?
True. Ahsante kwa kunisahihisha ,ata ivyo nnapoongelea programmer akilini namaanisha engineer/ scientist. makosa tu madogo ya uwasilishaji.Unapokosea ni pale unapomwita degree holder kwamba ni programmer... Anybody can be a programmer.. Programming is just a tool.. Anybody can learn how to use code..
Kuna tofauti kubwa sana between a Programmer and an Engineer/Scientist .. It takes months to learn how to code but knowing how to use it to get a job done ndio issue ilipo.. Ni sawa na uwezekano wa kujua maneno yote duniani ila ukashindwa kuyapanga vizuri kutoa taarifa inayotakiwa..
Zipo aspects za CS ambazo ni vigumu sana mtu kuwa self taught mfano AI, Data Science, Security.. Lakini programming anyone can do.. Programmers and coders go to bootcamps.. Engineers and scientists go to Universities. Huku china programming inafundishwa kama stadi za kazi kwenye polytechnic colleges (mf. VETA).
Ndo maana unahaha.Chini ya mwembe ndugu.
Kama kasoma chini ya mwembe or MIT or Stanford it's not relevant to the discussion. Kwahiyo angesema kasoma Havard ungejibu "ndo maana unahaha" au ungetwist it to go with your thinking. You are not arguing against his point, you are attacking the person.Ndo maana unahaha.
And this notion you have that web dev is for self-taught people is stupid and shows how arrogant you are, you assume it easy, and doesn't need any kind of understanding ya programming. Web development is a very fast changing environment, there are new frameworks every few years and of course to keep up with it you have to teach yourself. Some people will stick with legacy stuff but doesn't mean they any less technical. Unasema maths over and over, and you are yet to prove how that is handy for your day to day programmingSawa sikatai, pia inategemea kazi za aina gani anazofanya huko ,sidhani kama anafanya kitu kikubwa sana zaidi ya web development. Maana wengi ndio hua kazi zao. Wapo wachache ambao wanakiweza wanafanya zaidi, na wengi wanakua na elimu kwenye technical field nyingine hasa mathematics na engineering.
Hawa madogo wakikariri lines mbili tatu za php na html kisha wakaweza kuisalimu dunia kwa 'Hello World!' ni shida.
Mimi nimemaliza chuo na basic knowledge ya Pascal,C,VB na Web Technologies tu tena HTML maana hata CSS sikuwahi ijua maana mambo yote ilikuwa Dreamweaver na PHP sijawahi ipenda,miaka 10 sasa since graduation nacode kwa Java,C#,VB.Net na sasa Python si haba na vyote ni self taught kwa kufanya projects zangu huku nikisoma forums mbalimbali na kutumia videos za YouTube nk.
Lecture anakufundisha Database Query Language eg SQL mpaka course inaisha haujaona hata hizo script zinavyovuta taarifa na kupeleka commands na hapo yupo na projector kuuubwa na laptop,anashindwa kudesign hata simple DB watu waone kwa macho yao!
Sasa huyo dogo sijui anaongea pumba gani?
Mwanzilishi wa Instagram ni Self taught Programmer na kafanikiwa ku code Social Media Pendwa zaidi Duniani..... Despite kuwa ni Self taught Still ni Leading programmer katika Facebook Deep text Project ambayo Ni Fields nyingine kabisa ya A.IAnd this notion you have that web dev is for self-taught people is stupid and shows how arrogant you are, you assume it easy, and doesn't need any kind of understanding ya programming. Web development is a very fast changing environment, there are new frameworks every few years and of course to keep up with it you have to teach yourself. Some people will stick with legacy stuff but doesn't mean they any less technical. Unasema maths over and over, and you are yet to prove how that is handy for your day to day programming
Hahaha bro endelea kujifariji, na kama ww ni self taught dev Najua ss iv upo mbele ya screen unacode vi program uchwara (calculator, website,clone ya excel ,system ya shule and the like).kisha uvipandishe playstore kama ushaidi wa kazi ulizofanya!
Acha kuropoka viti usivovijua waanzilishi wote wa Instagram wamesoma stanford, mmoja engineering management na mwingine symbolic systems, course ambayo kimsingi ni artificial intelligence. Ushahidi na attach picha . Alafu unaropoka ropoka tu apa.Mwanzilishi wa Instagram ni Self taught Programmer na kafanikiwa ku code Social Media Pendwa zaidi Duniani..... Despite kuwa ni Self taught Still ni Leading programmer katika Facebook Deep text Project ambayo Ni Fields nyingine kabisa ya A.I
Sasa Pimbi Mmoja tu anapotokea na kusema Web development Ni self taught pekee yake inashangaza
Hivi Vidogo vimekalili kuwa Elimu ni vyeti....Ndo maana tuna Rundo la Ma IT na Cs graduates kibao ambao wamejaa mtaanii kuuza karanga
Tech company kubwa Kama Google hawaangalii Cheti Chako au Uliposoma but what You can Offer
Watu tumesoma chuo but kiuhalisia skills nyingi za Programming tumejifunza wenyewe....Halafu Pimbi Kama huyu anakuja kuongea pumba
Mkuu save your strengths. Huyu dogo lengo lake ni kupata attention so that he can convince himself that he's also relevant in the tech world. Achana nae.Mwanzilishi wa Instagram ni Self taught Programmer na kafanikiwa ku code Social Media Pendwa zaidi Duniani..... Despite kuwa ni Self taught Still ni Leading programmer katika Facebook Deep text Project ambayo Ni Fields nyingine kabisa ya A.I
Sasa Pimbi Mmoja tu anapotokea na kusema Web development Ni self taught pekee yake inashangaza
Hivi Vidogo vimekalili kuwa Elimu ni vyeti....Ndo maana tuna Rundo la Ma IT na Cs graduates kibao ambao wamejaa mtaanii kuuza karanga
Tech company kubwa Kama Google hawaangalii Cheti Chako au Uliposoma but what You can Offer
Watu tumesoma chuo but kiuhalisia skills nyingi za Programming tumejifunza wenyewe....Halafu Pimbi Kama huyu anakuja kuongea pumba
Mkuu mbona hujashare izo code!!Nitashare link za paid programming course ambapo mwenye kuhitaj anipm itampatia link atajiunga na udemy na atazipata hizo course free kabisa bila kutoa hata mia. course zenyewe zinanzia $199 but utazipata free kabisa.link yenyew niya telegram channel.ukimaliza course utapewa certificate yako.
Uyo muongo hajui anachokiongea waanzalishi wa Instagram wote wamepitia stanford mmoja kasoma engineering management mwingine cs( AI) ushahidi nimeweka ,yy anakurupuka tu anakuja kuropoka hovyo humu.Mkuu save your strengths. Huyu dogo lengo lake ni kupata attention so that he can convince himself that he's also relevant in the tech world. Achana nae.
Pili, jifunze kutofautisha entrepreneurs na engineers, very important. Hao waanzilishi unaowaskia sijui Zuckerberg, spiegel,systrom, di angelo sio kwamba wote walicode wenyewe hizo tech products , wengi waliasisi tu idea na ku develop version za mwanzo kabisa za hizo products,afterr that waliajiri engineers ( mostly graduates) kuendeleza na kuinnovate.Mkuu save your strengths. Huyu dogo lengo lake ni kupata attention so that he can convince himself that he's also relevant in the tech world. Achana nae.
Mfano nani?Best programer are hackers and 98% ya best hackers hawajakaa darasani.