Kujifunza programming bila kwenda chuo

He does not write code for a living. That much I am sure.
 
Mzee andika tu kiswahilii utaelewekaa mzee vizungu vingii tumia lugha yako tu utaeleweka mzee
 
Mzee andika tu kiswahilii utaelewekaa mzee vizungu vingii tumia lugha yako tu utaeleweka mzee

Sawa mzee, lugha doesn’t detract the point mzee, have a good time mzee 🙂
 
Kwani aliyegundua izo lugha alienda chuo gani tuanzie apo.

Nenda uko india ukutane na watoto wameanza kucheza na komputa toka wadogo. Wanakuchapia codes hata mwalimu wako wa chuo hafikii.

Mimi mwenyewe nilikuwa nmeanza kuchapa codes mpaka waliokuwa wamehitimu chuo wakawa wanaomba tution kwangu. Mimi apo ndyo nmemaliza 4m6. Nlkuwa nasoma EGM. Kuconcentrate sana kwenye computer sikufaulu vizur a level. Nlpata dvn 3 na sikupata nafasi ya kuchaguliwa kusoma computer science. Bac apo na interest yangu ya computer ikwa imekufa.
 
Hiki kitu ndyo hapo nyuma kilikuwa kinacost taasisi nyingi hapa TZ. Wanaajiri watu wa IT coz of their school performance mwisho wa siku wanakutana na matatizo kwenye system ndy wanaanza kutafta freelancer ambao wanaexperience na si mavyeti.
 
Hahaa baba yangu alikuwa naye mbwana mafai. Wanajiita Afisa nyaraka za Taifa, ofice ya Raisi.
 

Huitaji kwenda chuo for 4 years uje kuwa Data scientist.
 
Nimependa hii
 
From experience computer science is learnt in the trenches. It's not a matter of chuo, it's a matter of self commitment. Mteja akitaka product haangalii chuo chako. Plus there's the aspect of team work. Kama MTU is srlf taught aendelee hivyo hivyo
 
Mkuuu hat mim naomb link boss wangu
 
Binafsi kwanza nisikitika kuona msomi anakosoa hatua za kizalendo kama hizi watz wenzangu walioamua kuchukua kujifunza programming binafsi nimefurahi sana hadi nahisi kutokwa na machozi ya furaha,naiona tz ninayo iota mbeleni.
Pili programming MTU yeyote anajifunza na anamaster vizuri tu bila shida yoyote ila kuwa recognized au certified engineer au scientist kwa self taught ni changamoto.
Lakini ulimwengu umebadilika coz business people wanachoangalia ni kutatiliwa kwa changamoto inayomkumba kwa wakati huo.
 

Sure
 
Reactions: Sax
Steve Jobs, Steve Wozniak, Jarweed Kareem, Bill Gates, Mark Zuckerberg , Elon Musk njooni mtusaidie hapa.
 
ngoja niwape siri hii, wanafunzi wengi wanachukia kusikia mtu amejifunza programming mwenyewe sababu kuna watu wamesoma computer science mpaka wamemaliza hawajui hata kutengeneza simple website, unapokuja kumwambia mtu huyu kuhusu self taught inamuumiza sana sababu unakuwa kama unamprove wrong, nipo chuo kwa sasa naona wanafunzi wezangu wanachukia sana hasa pale ninapotoa project au kuitangaza, wengine wanakwambia mtaalamu utakuwa wewe , wengine wanapotezea hata hawataki kuona unafanya nini but deep down swala hili linawaumiza kuona wew unafanya kitu lakini wao hawana muelekeo wowote zaidi ya kumeza madesa ya chuo, kumbuka watu hawapendi kuona ukipiga hatua haswa ukiwa level sawa na wao au ukiwa chini yao , nipo chuo na naona chuki nyingi ninapo release project wengi ni wanafiki, jambo moja unalotakiwa kujua maandeleo ni jitahada binafsi wengi wapo kufurahia kuona ukishindwa.
 
Hamna chuo Tanzania kinachofundisha programming (100%) otherwise vilivyopo vinatoa vyeti/degree ambavyo havikizi soko la ajira lililopo.Ukitaka kuwa nondo lazima uchukue certification Kama unasoma php chukua Zend Certification,Chukua Certification za Microsoft, Certification za google, Certification za Magento nk.Cheti cha chuo cha bongo cha programming hakina uzito.
 
tatizo sio chuo haya masomo nitofauti sana hata huko havard haufundishi kila kitu unafundishwa basic then wew inabidi kujiongeza sababu technology zinabadilika kila siku, hakuna syllabus ambayo inaweza kufundisha new technology kila wakati hivyo mwanafunzi inabidi uendane na muda na kijibidisha mwenyewe.
 
Wewe mleta mada mwenye degree umefanya kitu gani ambacho kimeleta mabadiliko ambayo yanaweza kumshawishi mtu aende chuo ukiondoa kejeli zako?
Kitaje kama kipo..

Pia tambua sio kila mtu ana ndoto za kuajiriwa kama wewe bali wengine wana plan za kuajiri, hapo unajaribu kulisha watu opinions zako tu kwa sababu zako unazozijua.

Alafu wewe inaonekana hujui wala huna sababu maalumu inayokufanya uwepo huko ulipo sasa hivi zaidi ya kuajiriwa na ndio maana umeandika huu uzi.

Mimi nina best idea hivyo najifunza programing mwenyewe online tuone kama nitahitaji degree kufanya hicho ninachokifanya.

Muangalie musk hana PhD lakini anaajiri wenye PhD.
 
Kuwa programmer hauhitaji degree ila kuwa Computer Scientist hapo unaihitaji elimu ya chuo... maana jiaminishe unavyotaka ila the man behind compiler cdhani kma alikimbia shule... huwezi ukatengeneza your own language kma ulikimbia college
 
Hehe ndio mwenyewe umeona point hyo.
Hapana sababu hakuna sehemu nimeandika hivyo na hivyo huna ushahidi na ulichoandika zaidi ya kukisia ina maana hujui ulichoandika.
Nije kwenye swali lako. Alikwambia nani aliyeunda law of nature hakusoma. Alikurupuka 2 usingizini nakuanza ku floo au sio.
Sijasema hakusoma wala hakuna aliyeniambia kwamba hakusoma. Bali nimekuuliza yeye alifundishwa na nani kuhusu law of nature?

Wewe ndo utoe jibu sasa alifundishwa na nani kuhusu law of nature?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…