ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,139
- 17,612
And how many of those things do you use every day? If you have a degree in CS chances are you started coding before you even went chuoni, people who take their time to learn something on their own have an interest in it and will learn and improve over time. It’s the same thing with mechanics, electricians etc Nothing beats learning by doing (What a noble idea).
Yes, they may lack ability to drop names kama wewe, discrete mathematics, architecture etc but all those are not used day to day. If you know your big Os and your data structures you are good for the most part to get started. Extras are good but not knowing them doesn’t make you any less a programmer
I’m a big proponent of people kusoma programming bila chuo. Ingawa nakubaliana na wewe kuwa kuna watu wanakosa foundations za CS, sidhani kwenda chuo ni solution. People can still learn those things on their own kama wakielekezwa, na most people pick those things on their own on the fly. In my personal experience algo and DS gets you to pass an interview but in day to day you pick up a lot more by doing that remembering what algorithm does what, use of correct data structures comes naturally with experience, and anyone doing programming will learn best pracrtices from forums, shared code etc.
So in my opinion kama unaenda chuo just to learn foundations of CS it is a waste of time and money, people who are into programming will learn those things one way or another. Kama unaenda chuo kupata degree sawa, it’s still an expensive piece of paper that we can do without.
Mzee andika tu kiswahilii utaelewekaa mzee vizungu vingii tumia lugha yako tu utaeleweka mzee
Hiki kitu ndyo hapo nyuma kilikuwa kinacost taasisi nyingi hapa TZ. Wanaajiri watu wa IT coz of their school performance mwisho wa siku wanakutana na matatizo kwenye system ndy wanaanza kutafta freelancer ambao wanaexperience na si mavyeti.Br
Najua sitaweza kushindana na nyie watu wa syntax kwenye hii mada na mtacopy na ku paste sana defense kutoka mtandaoni zilizoandaliwa na self taught gurus wenzenu, but deep down your heart ukweli unawachoma, na itabaki kuwa hivyo.fortunately watu wanaoielewa vzr sector ya IT wanafahamu hili na hawawezi kuwaweka kwenye project yyt inayoitaji expertise, no wonder wengi wenu mnaishiaga kuwa freelance devs, and its simply kwa sababu hamuwezi kujumuika na wenzenu kwenye projects za maaana,mtabaki kuuliza maswali tu badala ya kuchangia mawazo!
Hahaa baba yangu alikuwa naye mbwana mafai. Wanajiita Afisa nyaraka za Taifa, ofice ya Raisi.Mkuu nachokiona hapa unaumia na kuteseka mno kuona vitu ulivyovisoma Kwa mbinde, leo teknolojia imevirahisisha na watu wanavisoma kirahisi sana. Kumbuka mambo yanabadilika sana usiforce uzamani kwenye sasa. Zamani watu walitumia mawe kuhesabu baadae ikaja vijiti leo Kuna calculators. Huwezi kusema watumia mawe walikuwa bora zaidi. Pia kulikuwa na watu wanaitwa ma bwana mafaili spesho Kwa kutunza mafile, ila baada ya kuja kwa tarakirishi a k a computer Huwezi kuwasikia tena coz files zinatunzwa mule na ni simple zaidi kuzipata. Acha uzamani na si kila mtu apitie ulipopitia
Mkuu icho unachokisema in theory kinawezekana lakn ki uhalisia wanaoweza kufanya hivyo hawapo, na programming ni sehemu tu ya kuextend ideas za CS sio kwamba ndio kila kitu kwenye CS.Sasa iv subdiscipline nyingine ya CS inaitwa Data Science imeshamiri ,inahitaji foundation kwenye CS na statistics na yenyewe mkadandie kwa mbele kwa sababu mmekariri syntax za python.
Nionyeshe hao watu waliokaa wakajifunza wenyewe discrete mathematics ,comp architecture,computational complexity, ds & algorithms, calculus, linear algebra, numerical analysis, na topics nyingine nyingi ambazzo siwez kuzitaja (ambazo ndo msingi wa CS) wakazielewa ,na walijipima vp kwamba wamezielewa? Tuache utani mtu unaandika vi markup vya html na kujifunza android kidogo tu unajiita engineer, wee!!!
Nendeni chuo mkatengenezewe computational thinking ,mkajifunze misingi ya vifaa mnavyotumia acheni utani!
mimi huwa sisikilizi wala kujali mtu kama ameenda chuo au hajaenda nataka kuona project aliyofanya maana wanafunzi wa chuo wanaongea sana shit japokua na mimi nimeenda chuo lakini wanafunzi wengi wa chuo vimeo kupata degree haikufanyi wew kuwa bora zaidi ya mwingine ubora unakuja jinsi gani unaweza kukitumia ulichojifunza sio vingapi umejifunza.
From experience computer science is learnt in the trenches. It's not a matter of chuo, it's a matter of self commitment. Mteja akitaka product haangalii chuo chako. Plus there's the aspect of team work. Kama MTU is srlf taught aendelee hivyo hivyoKumeibuka wimbi la watu kujifunza programming na kujiaminisha kwamba jambo hili linawezekana .ukweli ni kwamba wengi wanaopitia njia hii wanakosa foundation ya CS na wanajikuta wamekariri tu programming languages na namna ya kutumia library kufanya wanayo kusudia.no wonder wengi wanopitia njia hii wameishia kwenye web development tena frontend.ukiwapeleka kwenye vitu technical zaidi vinavyohitaji kuelewa concept za ndani za programming na mambo ya ds na algorithms asee utawaona wana haha.
Ushauri wangu ni kuwa japokuwa resources za kujifunza misingi ya cs zimejaaa mtandaoni , ni ngum mno kuji commit kuhakikisha unajifunza na kuelewa wewe mwenyewe bila usaidizi wa mentor na uwepo wa supporting community kama inayopatikana chuo.
Kwaiyo kama una interest na CS na tech kwa ujumla, UDSM CS/CE, UDOM SE,DIT CE. (Sijui kama wana CS.)
MAKERERE CS/CE, Uni of Nairobi CS,
JKUAT CS. na SUA informatics( sina uhakika na course content yao ila naskia ni CS /CE oriented
na sio IT oriented). Usiende vyuo vya mbuzi ati sijui open university ,
Ruco etc utapoteza muda!
Mkuuu hat mim naomb link boss wanguNitashare link za paid programming course ambapo mwenye kuhitaj anipm itampatia link atajiunga na udemy na atazipata hizo course free kabisa bila kutoa hata mia. course zenyewe zinanzia $199 but utazipata free kabisa.link yenyew niya telegram channel.ukimaliza course utapewa certificate yako.
Binafsi kwanza nisikitika kuona msomi anakosoa hatua za kizalendo kama hizi watz wenzangu walioamua kuchukua kujifunza programming binafsi nimefurahi sana hadi nahisi kutokwa na machozi ya furaha,naiona tz ninayo iota mbeleni.
Pili programming MTU yeyote anajifunza na anamaster vizuri tu bila shida yoyote ila kuwa recognized au certified engineer au scientist kwa self taught ni changamoto.
Lakini ulimwengu umebadilika coz business people wanachoangalia ni kutatiliwa kwa changamoto inayomkumba kwa wakati huo.
tatizo sio chuo haya masomo nitofauti sana hata huko havard haufundishi kila kitu unafundishwa basic then wew inabidi kujiongeza sababu technology zinabadilika kila siku, hakuna syllabus ambayo inaweza kufundisha new technology kila wakati hivyo mwanafunzi inabidi uendane na muda na kijibidisha mwenyewe.Hamna chuo Tanzania kinachofundisha programming (100%) otherwise vilivyopo vinatoa vyeti/degree ambavyo havikizi soko la ajira lililopo.Ukitaka kuwa nondo lazima uchukue certification Kama unasoma php chukua Zend Certification,Chukua Certification za Microsoft, Certification za google, Certification za Magento nk.Cheti cha chuo cha bongo cha programming hakina uzito.
Aliyegundua law of nature alifundishwa na nani?Siitaji kuwa na watu upande wangu ,the law of nature is: majinga na ma mbumbumbu ni mengi kuliko watu werevu, huna unalolijua ,bloodbastard!
Hapana sababu hakuna sehemu nimeandika hivyo na hivyo huna ushahidi na ulichoandika zaidi ya kukisia ina maana hujui ulichoandika.Hehe ndio mwenyewe umeona point hyo.
Sijasema hakusoma wala hakuna aliyeniambia kwamba hakusoma. Bali nimekuuliza yeye alifundishwa na nani kuhusu law of nature?Nije kwenye swali lako. Alikwambia nani aliyeunda law of nature hakusoma. Alikurupuka 2 usingizini nakuanza ku floo au sio.