Wote tunajua kuwa Oct 29 hakukuwa na uchaguzi. Pamoja na kwamba alijitangaza kwa 98% hatupaswa kumuunga mkono wala kumtambua.
Kujadili hotuba yake ni kumpa uhalali asiokuwa nao. Nafikiri wala tusimwite Rais bali tumwite Mama Samia tu inatosha.
Tumkaushie yeye na chawa wake
Kujadili hotuba yake ni kumpa uhalali asiokuwa nao. Nafikiri wala tusimwite Rais bali tumwite Mama Samia tu inatosha.
Tumkaushie yeye na chawa wake