Kujadili hotuba yake ni kumpa uhalali

Kujadili hotuba yake ni kumpa uhalali

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
804
Reaction score
2,059
Wote tunajua kuwa Oct 29 hakukuwa na uchaguzi. Pamoja na kwamba alijitangaza kwa 98% hatupaswa kumuunga mkono wala kumtambua.

Kujadili hotuba yake ni kumpa uhalali asiokuwa nao. Nafikiri wala tusimwite Rais bali tumwite Mama Samia tu inatosha.

Tumkaushie yeye na chawa wake
 
Back
Top Bottom