Amon simion
Member
- Jan 9, 2013
- 18
- 0
Wapendwa wana jamii, Naomba nifahamu, Nimeitwa kwenye usaili, Nimefanyiwa usaili, Nikaambiwa ningepigiwa simu kujulishwa, Mpaka leo sijapigiwa, Sasa swali langu ambalo nahitaji ushauri, Je? Ninaweza kufuatilia jibu au la?