king chibya
Member
- Jun 29, 2016
- 91
- 148
Wale mliomba kazi PCCB mkeka umetoka, jongeeni mkajionee kama upo kwenye Orodha au umetemwa!
Kila la kheri!
Kila la kheri!
sasa amptitude test tu, unaita watu dodoma...hiyo siinaweza tu kufanyika online ukachuja na ukabaki na cream unayoitaka...then ukawapiga oral tena online ukachuja then watakaobaki unaangalia mikoa wanayotoka wanareport takukuru mkoa wanapigwa interview mnamalizana.....
wapuuzi hao washaweka watu wao. Hayo majina wametoa kiushaidi tuu kuwapoteza maboya.Wale mliomba kazi PCCB mkeka umetoka, jongeeni mkajionee kama upo kwenye Orodha au umetemwa!
Kila la kheri!View attachment 2061478
Kwann unasema hivi kaka? Usiwe na negative mind mkuu! Kama upo interested nenda ukafanye interviewwapuuzi hao washaweka watu wao. Hayo majina wametoa kiushaidi tuu kuwapoteza maboya.
Bado zipo za wengine.wapuuzi hao washaweka watu wao. Hayo majina wametoa kiushaidi tuu kuwapoteza maboya.