walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,832
- 5,632
Wadau nawasalimu, jamani tume ya mahakama walitangaza nafasi za kazi nyingi ikiwemo ya wahasibu wasaidizi na nyinginezo, je izi nafasi ndo zimepigwa kapuni au inakuwaje wakuu mana ni kitambo sana. mwenye ufahamu wadau atupe kinagaubaga. Nawakilisha wakuu