Habari za saa hizi wana JF especially wahanga wenzangu wakosefu wa ajira.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo dodosa,nimepata fununu kutoka chanzo changu cha habari {kutoka PCCB} ya kwamba wataita watu kazini kwa awamu ya pili kuhudhuria semina elekezi,hii ni kufuatia usaili {aptitude test} uliofanyika siku kadhaa nyuma.
Kama kuna yeyote anayefahamu juu ya jambo hili ningependa atujuze zaidi juu ya uhalali na uhalisia wa habari hii,
Ni mwaka wa nne sasa mwenzenu natanga na njia bila kazi.
Wenu Ndg Michepuko,
Mhanga mkosefu sugu wa ajira.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo dodosa,nimepata fununu kutoka chanzo changu cha habari {kutoka PCCB} ya kwamba wataita watu kazini kwa awamu ya pili kuhudhuria semina elekezi,hii ni kufuatia usaili {aptitude test} uliofanyika siku kadhaa nyuma.
Kama kuna yeyote anayefahamu juu ya jambo hili ningependa atujuze zaidi juu ya uhalali na uhalisia wa habari hii,
Ni mwaka wa nne sasa mwenzenu natanga na njia bila kazi.
Wenu Ndg Michepuko,
Mhanga mkosefu sugu wa ajira.