Msikurupuke jamani... customer care wote wa tigo wameajiriwa na agent NFT hao... sasa hawa wahindi wametokea wapi mana sijawah ona mhindi pande hzo!! Labda useme upande wa uuzaji wa cm YES ni mhindi zile sio za tigo...
Na pia NFT haijawa burned bado though kuna hati hati ya tigo kuvunja mkataba nao..
Kama umeitwa kwenye interview nenda tuu mana hujaspecify ni kaz gani wamekuitia hlf uwe unasema uliiona wapi sio unauliza tuu!!