Wadau mimi ni mwanachama mpya kwenye forum hii, naulizia kuwa ukiitwa interview 2 tarehe moja unafanyeje, je unaweza
kuomba upande mmoja kukupangia tarehe nyingine au kisheria hairuhusiwi?
Mkuu inawezekana, fanya analysis kwanza wapi italipa zaidi au possibility ya kupata ni kubwa zaidi then piga simu kwa how unaowapa low priority kwamba utachelewa au utafanya siku inayofuata
kuna baadhi ya mashirika yanatoa siku mbili kuinterview but mengi yao huwa ni siku moja tu! kwa hiyo ni choice yako kujua wapi kuna maslahi zaidi zaaidi ya hapo ujue kama imekula kwako man!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.