Rasheed rashid
Member
- May 12, 2017
- 10
- 0
Nimeokota cmu tecno w2 na inapatern nawezaje kuirestart???
Pongezi unamachoo kwenye giza lote ili au kwenye daladala?Nimeokota cmu tecno w2 na inapatern nawezaje kuirestart???
Nimejarbu kwa njia hyo lkn inascreen shoot tuKama ni ku wipe all data
1)izime
2)bonyeza batan ya kuwasha na ya kupunguzia sauti kwa pamoja
3)zitakuja option nyingi kwa rangi ya kjani,nyekundu au blue
4)tumia batan ya kupunguzia sauti kuflikia option ya wipe all data
5)bonyeza batan ya kuzimia
6)unitumie ata 5000 mpesa
My advice ungetangaza kwanza simu ujue ni ya nani,
Kwa maelezo zaidi ni PM
Nimekwambia uizime kwanza mkuu au unaelewaje kuzima simu?Nimejarbu kwa njia hyo lkn inascreen shoot tu