Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

Je Rais wa nchi anayo mamlaka ya kupandisha miji kuwa majiji ?
Soma hapo
IMG-20180426-WA0030.jpg


Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Nauliza swali simple tu,turejee nyuma 2005 na 2010 wakati mwanza na mbeya zikipewa hadhi ya jiji hivi zilikuwa zinafanana kimandhari na kimaendeleo kama Dom Leo? Maana miji hiyo haikuwa hata na vigezo by then
Mwanza ilikuwa na vigezo Kwa hiyo miaka huwezi kulinganisha na hako kamtaa ka wagogo
 
kuwa jiji au manispaa au kitongoji haikuhusu wewe mkulima na mfanyabiashara.


inamhusi mfanyakazi Wa serikali ambaye hulipwa posho kulingana hadhi ya mji.



katoro geita ni kijiji, lakini inakimbiza miji na manispaa kibao tu.
 
Kama rais anaamka na kuamua Manispaa fulani iwe jiji halafu tunakenua badala kumuuliza kama taratibu zimefuatwa, tunaelekea pabaya.

Kuna siku atakuja kuamka na kuya fanya majiji yasiyoipenda CCM kuwa Manispaa.

Tusikubali Rais aamue, bali taratibu zifuatwe.
Sheria znamruhusu mhe. Rais kufany ivyo,,
 
Hajakosea isipokuwa ilitakiwa aorodheshe mikoa&. manispaa nyingine kuzipa hadhi ya jiji.Ningekuwa mimi mh ningetangaza walau manispaa mbili hata tatu ilinisionyeshe upendeleo na matumizi mabaya ya mamlaka
 
Bado sana dodoma kuwa jiji nina vigezo

1.Population (inatakiwa kuwa na 800k) yake ni ya watu 2M na dodoma urban ina wat 450k ambapo density yake ni 140/km2 wakati dar ni 3000/km2
2. 80% ya wakazi wanatakiwa wawe na vipato ambavyo tunaita non-agricultural income
3. 99% ya mapato wanapaswa kujitegemea kwa kila kitu pasipo ruzuku kutoka serikalini
4. Viwanda vya processing angalau 5

ntaendelea
Ahsante kwa kunifahamisha, Mimi nilikuwa najiuliza imekuwaje Tanga kuwa jiji? Kumbe imetimiza vigezo vyote maana niliona Kama wameipendelea
 
Ieleweke kwamba Sina kinyongo kwa mji mdogo na duni kama Dodoma kupewa hadhi ya jiji

Lakini je Kauli au amri ya Kiongozi ina uhalali wa kubadili Mji mdogo kuwa Jiji ? Huo ndio utaratibu wa kupata majiji uliotumika kwa miaka yote ?

Ili mji uwe jiji unapaswa kuwa na sifa zipi , je Dodoma inazo sifa hizo ?
Mimi sijaribiwi. Don't dare me
 
Ieleweke kwamba Sina kinyongo kwa mji mdogo na duni kama Dodoma kupewa hadhi ya jiji

Lakini je Kauli au amri ya Kiongozi ina uhalali wa kubadili Mji mdogo kuwa Jiji ? Huo ndio utaratibu wa kupata majiji uliotumika kwa miaka yote ?

Ili mji uwe jiji unapaswa kuwa na sifa zipi , je Dodoma inazo sifa hizo ?
leo ukimwuuliza mkazi wa Tanga au Mbeya amefaidika nini na miji yao kupandishwa hadhi kuwa majiji miaka kadhaa iliyopita atakujibu haoni.
 
Uzuri wake mnapinga mitandaoni lakini kiuhalisia Dodoma ndo ishakuwa
jiji tayari...Dom city
 
Ieleweke kwamba Sina kinyongo kwa mji mdogo na duni kama Dodoma kupewa hadhi ya jiji

Lakini je Kauli au amri ya Kiongozi ina uhalali wa kubadili Mji mdogo kuwa Jiji ? Huo ndio utaratibu wa kupata majiji uliotumika kwa miaka yote ?

Ili mji uwe jiji unapaswa kuwa na sifa zipi , je Dodoma inazo sifa hizo ?
I hope! the purpose of writing this ni kupata replies tu, otherwise u should work on ur judgement skills...
 
Back
Top Bottom