D
Deleted member 421398
Guest
Soma hapoJe Rais wa nchi anayo mamlaka ya kupandisha miji kuwa majiji ?
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Soma hapoJe Rais wa nchi anayo mamlaka ya kupandisha miji kuwa majiji ?
Mwanza ilikuwa na vigezo Kwa hiyo miaka huwezi kulinganisha na hako kamtaa ka wagogoNauliza swali simple tu,turejee nyuma 2005 na 2010 wakati mwanza na mbeya zikipewa hadhi ya jiji hivi zilikuwa zinafanana kimandhari na kimaendeleo kama Dom Leo? Maana miji hiyo haikuwa hata na vigezo by then
Soma hapa, naona mchakato ulianza szamanai. yeye amemalizia tuIeleweke kwamba Sina kinyongo kwa mji mdogo na duni kama Dodoma kupewa hadhi ya jiji
Lakini je Kauli au amri ya Kiongozi ina uhalali wa kubadili Mji mdogo kuwa Jiji ? Huo ndio utaratibu wa kupata majiji uliotumika kwa miaka yote ?
Ili mji uwe jiji unapaswa kuwa na sifa zipi , je Dodoma inazo sifa hizo ?
Sheria znamruhusu mhe. Rais kufany ivyo,,Kama rais anaamka na kuamua Manispaa fulani iwe jiji halafu tunakenua badala kumuuliza kama taratibu zimefuatwa, tunaelekea pabaya.
Kuna siku atakuja kuamka na kuya fanya majiji yasiyoipenda CCM kuwa Manispaa.
Tusikubali Rais aamue, bali taratibu zifuatwe.
Ahsante kwa kunifahamisha, Mimi nilikuwa najiuliza imekuwaje Tanga kuwa jiji? Kumbe imetimiza vigezo vyote maana niliona Kama wameipendeleaBado sana dodoma kuwa jiji nina vigezo
1.Population (inatakiwa kuwa na 800k) yake ni ya watu 2M na dodoma urban ina wat 450k ambapo density yake ni 140/km2 wakati dar ni 3000/km2
2. 80% ya wakazi wanatakiwa wawe na vipato ambavyo tunaita non-agricultural income
3. 99% ya mapato wanapaswa kujitegemea kwa kila kitu pasipo ruzuku kutoka serikalini
4. Viwanda vya processing angalau 5
ntaendelea
Mimi sijaribiwi. Don't dare meIeleweke kwamba Sina kinyongo kwa mji mdogo na duni kama Dodoma kupewa hadhi ya jiji
Lakini je Kauli au amri ya Kiongozi ina uhalali wa kubadili Mji mdogo kuwa Jiji ? Huo ndio utaratibu wa kupata majiji uliotumika kwa miaka yote ?
Ili mji uwe jiji unapaswa kuwa na sifa zipi , je Dodoma inazo sifa hizo ?
leo ukimwuuliza mkazi wa Tanga au Mbeya amefaidika nini na miji yao kupandishwa hadhi kuwa majiji miaka kadhaa iliyopita atakujibu haoni.Ieleweke kwamba Sina kinyongo kwa mji mdogo na duni kama Dodoma kupewa hadhi ya jiji
Lakini je Kauli au amri ya Kiongozi ina uhalali wa kubadili Mji mdogo kuwa Jiji ? Huo ndio utaratibu wa kupata majiji uliotumika kwa miaka yote ?
Ili mji uwe jiji unapaswa kuwa na sifa zipi , je Dodoma inazo sifa hizo ?
VigezoKm vigezo vimezingatiwa mimi sina tatizo katika hili.
I hope! the purpose of writing this ni kupata replies tu, otherwise u should work on ur judgement skills...Ieleweke kwamba Sina kinyongo kwa mji mdogo na duni kama Dodoma kupewa hadhi ya jiji
Lakini je Kauli au amri ya Kiongozi ina uhalali wa kubadili Mji mdogo kuwa Jiji ? Huo ndio utaratibu wa kupata majiji uliotumika kwa miaka yote ?
Ili mji uwe jiji unapaswa kuwa na sifa zipi , je Dodoma inazo sifa hizo ?