Kuinstall stock filmware

Gatete

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
380
Reaction score
407
Natumia galaxy note 3 ambayo inarun custom ROM android 5.0, kuna muda haikuwa stable hvyo nilihtaji kuidowngrade to kitkat au kubadili ROM either custom au nirudi stock..nilidown load firmware nyingine ya SM-9005, odin pamoja na drivers zote husika ili niflash ROM iliyo kuwepo.
Bahati mbaya katika process hyo simu ilifail na baada ya hapo ikawa inaleta ujumbe huu nikiiwasha 'could not do normal boot odin mode'
nimedownload firmware nyingine stock nimeiconnect tena kwa pc via odin lakini kila inapoanza process inafail na kuwaka haiwez tena.

naombeni msaada niweze kuinstall ROM upya
 
Kwanza unatakiwa ujaribu version karbia zote za odin,umefanya hivyo?

Pili baada ya kujarbu odin version zote especially zile latest ,kama bado inagoma kuflash,itabid utumie samsung keys hii na itaflash bila tatizo.

Ukikwama unaeza nichek pm ntakusaidia kwa team viwer
 
asante..ngoja nijaribu version nyingine za odin pamoja na hzo kies3
 

Odin latest version still inafail...kies pia haisupport kwa model yangu
 
imegoma kudownload..inaonyesha version ya current firmware, no more option
 
Hakikisha hyo firmware uliyo-download ndo yenyewe
Nilkuwa na Galaxy s5 ukiangalia model ni g900F wakati TCRA ukihakiki inasema g900T
Nili-download firmware ya g900F kila niki-flash ina-fail
But nilipo-download ile TCRA walkuwa wanatuletea ikakubali, jaribu kuangalia vizuri kuna matoloe mbalimbali ya hizi simu based na network carrier za USA
Kama TCRA bado wanakubali kuhakiki wacheki model watakayokupa ndo real
 
inawezekana aisee...firmware nilizodownload zilikuwa za SM-N9005 kama model ya simu inavyoonyesha lakini TCRA inaonyesha ni SM-N900S
 
hii kitu imekaaje sasa simu kudisplay taarifa nyinginezo tofauti na uhalisia wake?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…