mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
Tatizo la Kinana ni kuwa anaongea kana kwamba ccm siyo chama tawala. Kuna maana gani kupanda kwenye jukwaa na kueleza juu ya udhaifu wa serekali wakati wao ndio wenye serekali? Wapainzani watatumia udhaifu huo huo kumwumbua Kinana na serekali ya chama chake. Wananchi hatutaki porojo, tunataka utekelezaji na hilo Kinana hawezi kulitenda
Ni kweli hii ni weakness kubwa sana kwa CCM na ni mbinu ambayo ni very risky. Kama wapinzania wakitumia huu mwanya vizuri CCM watakuwa wameumia. Yaani wewe unataoka kwenda kulalamika kwamba nyumba yako ni chafu, badala ya kuisafisha? Kwani hao watendaji anaowalalamikia wamewekwa na nani?