Wewe wasema.Labda! Ila sidhani. Wewe je?
Mi nilishauri tu tujipime hapo kabla ya kuongea!
Mkuu, kitendo cha watu kuondoka wakati mkutano unaendelea ni cha kawaida sana kwani hata kwenye mikutano ya UKAWA hayo yanatokea.
Hiyo si kweli mkuu, mbona watanzania wengi tu ambao wameelimika vya kutosha wanaiunga mkono CCM?Ccm wamewasababishia ujinga watanzania, bahati mbaya kwa watanzania ujinga wao ndio mtaji wa ccm.
Miaka hamsini ya utawala chama kinasema kitaleta matumaini tena.!!!???
Maswali gani mengine mkuu, au ni haya ya kubeba watu kwenye malori? Huo ni UZUSHI tu kwani CCM haina pesa za kukodia watu malori bali wanachama na wapenzi wa chama hukodi kwa gharama zao kama wataona kuna ulazima wa kufanya hivyo.Mbona hayo maswali mengine hujajibu? Ila kweli CCM mnatisha sana mmeumaliza upinzani kabisa. Sasa ni wakati wa kufungua champagne na kusherehekea na kupongezana kwa sababu mwakani kaz ni nyepesi sana. hata mkimsismamisha Lusine mtashinda tu. HOngereni kwa kuumaliza upinzani. Twendeni tusherehkee sasa. CCM tutawala milele!
Hiyo si kweli mkuu, mbona watanzania wengi tu ambao wameelimika vya kutosha wanaiunga mkono CCM?
Hiyo si kweli mkuu, CCM wameonesha mapenzi ya kweli kwa watanzania, kila mmoja analijua hili.CCM wamepanda kiwango wanang'ata na kupuliza kama panya utafikili hawajakung'ata wao.
Ukweli huniweka huru daima mkuu.
Wewe vipi mkuu, huna njaa ili nawe ukajipatie ulaji CCM?Njaa mbaya sana wote hao wanafuata ulaji na ulaji unapatikana CCM chama kubwa kwa yote.
Anachofanya Kinana si kitu kibaya kwani anawakosoa watendaji ambao wanaonekana kulegalega katika safari ndefu ya kuwatumikia wananchi na sio kama unavyodhani wewe kwamba anaanzisha upinzani ndani ya CCM.Kinana ametengeneza CCM ndani ya CCM ndiyo kuimalika huko?Ulishawahi ona wapi chama tawala kinaiponda serekali yake?Hapo hakuna chochote cha maana alichokifanya Kinana.Alichokifanya Kinana ni kuangalia ni kitu gani ambacho kinatumiwa na wapinzani kuwavutia wananchi akagundua kuwa ili uweze kuwapata wananchi ni kuishambulia serekali kwa maovu inayoyafanya wakati maovu hayo ni ya CCM yenyewe na kuendeleza kutoa ahadi nyingi ambazo nyingi zimeshindwa kutekelezwa na hazitekelezeki.Alicho kifanya Kinana ni kufanya yale ambayo wapinzani wanayafanya baada ya kugunduwa kuwa wapinzani wanayatumia hayo kuibomoa CCM.Kwa hiyo Kinana aliona kuwa hakuna jipya ambalo anaweza kulifanya ili wananchi waendelee kuihurumia CCM isipokuwa ni kuunda upinzani ndani ya CCM ili ifanane na wapinzani halisi.
Matusi ya nini mkuu? Acha jazba kwani hujalazimishwa kuchangia huu uzi.Ukweli upi wewe .... idiot
Hiyo si kweli mkuu, mbona watanzania wengi tu ambao wameelimika vya kutosha wanaiunga mkono CCM?
Ni mgonjwa yupi mkuu ambaye yuko chumba cha wagonjwa mahututi, au ni UKAWA?Ukiona mgonjwa aliyeko ICU kapata nguvu ghafla anaomba maji andaa sanduku, mfa maji haachi kutapatapa
Matusi ya nini mkuu? Acha jazba kwani hujalazimishwa kuchangia huu uzi.
Unamaanisha hata Phd holders walioko UKAWA kama Mzee Slaa nao ni mburulas tu?hivi hizi hoja za maprofesa wa ccm wanazotoa bungeni unaziona zina hadhi ya kutolewa na mtu msomi? Leo hii hapa bongoland huwezi tofautisha hoja ya mtu mwenye phd na yule wa drs la 4! Ama kweli ukiwa ccm sharti uwe na akili ya maiti
mada ya kipuuzi kama hii lumumba wanalipa kiasi gani? Ni ile ile buk 7 au wamepandisha?