Pole mkuu, nilipigwa 1.2 (pesa mingi) mwaka 98 za boss ilikua nimpe mchana.
kijinga tu na vibaka hapo migo kanisani sa 11 asubuhi sitasahau.
Swali najiuliza mpk leo kwanini sikuchukua taxi.
Ila niliwapata wote na tuliwafanya kitu mbaya hela sikuipata.