Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Huu utaratibu wa sasa ukipata kesi yoyote inaambatana na laini yako kama ulisajili kwa kitambulisho cha mtu mwingine unafunguliwa kesi nyingine hayo siyo makosa yetu Serikali itatufunga wengi sana!
Hayo ni makosa ya NIDA kwa kuchelewa kutoa vitambulisho na kuweka utaratibu ambao sio rafiki kabisa maelfu ya watu hawana nikiwemo mimi, nani atakubali akose mawasiliano?
Tufungeni basi!
Hayo ni makosa ya NIDA kwa kuchelewa kutoa vitambulisho na kuweka utaratibu ambao sio rafiki kabisa maelfu ya watu hawana nikiwemo mimi, nani atakubali akose mawasiliano?
Tufungeni basi!