Kuhusu utaratibu: CAG ataitwa bungeni baada ya kupitishwa kwa azimio. Spika, wapi mlimjadili CAG kama bunge?

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Nashangaa kuona Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitoka na kumuita CAG kienyeji huku akijua kuwa CAG ni mamlaka yenye kinga kikatiba.

Nikukumbushe tu ndugu Ndugai umekurupuka sana. Ilibidi bunge zima limjadili CAG na kupitishwe azimio ndipo aitwe na siyo spika kutoka kienyeji na kumuita. Wapi mlijadili hilo?

Mnafanya mambo kienyeji mkiambiwa nyie ni chombo dhaifu mnapiga makelele. Jifunzeni nidhamu na utaratibu wa kiuongozi.

CAG hakukurupuka.Aliongelea yale aliyotumwa kuyafanyia kazi. Sasa nyie badala ya kufanyia kazi hayo anakuja Spika anachafua hadhi ya bunge.

Bunge letu lingekuwa na umoja basi huyu Spika angeondolewa mara moja ila ndiyo hivyo tena!
 
Nashangaa kuona Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitoka na kumuita CAG kienyeji huku akijua kuwa CAG ni mamlaka yenye kinga kikatiba.

Nikukumbushe tu ndugu Ndugai umekurupuka sana. Ilibidi bunge zima limjadili CAG na kupitishwe azimio ndipo aitwe na siyo spika kutoka kienyeji na kumuita. Wapi mlijadili hilo?

Mnafanya mambo kienyeji mkiambiwa nyie ni chombo dhaifu mnapiga makelele. Jifunzeni nidhamu na utaratibu wa kiuongozi.

CAG hakukurupuka.Aliongelea yale aliyotumwa kuyafanyia kazi. Sasa nyie badala ya kufanyia kazi hayo anakuja Spika anachafua hadhi ya bunge.

Bunge letu lingekuwa na umoja basi huyu Spika angeondolewa mara moja ila ndiyo hivyo tena!
Wape na kifungu mkuu ulipo 'quote'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti atajua kwamba sisi sio dhaifu.. pumabafu sana ..
Nashangaa kuona Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitoka na kumuita CAG kienyeji huku akijua kuwa CAG ni mamlaka yenye kinga kikatiba.

Nikukumbushe tu ndugu Ndugai umekurupuka sana. Ilibidi bunge zima limjadili CAG na kupitishwe azimio ndipo aitwe na siyo spika kutoka kienyeji na kumuita. Wapi mlijadili hilo?

Mnafanya mambo kienyeji mkiambiwa nyie ni chombo dhaifu mnapiga makelele. Jifunzeni nidhamu na utaratibu wa kiuongozi.

CAG hakukurupuka.Aliongelea yale aliyotumwa kuyafanyia kazi. Sasa nyie badala ya kufanyia kazi hayo anakuja Spika anachafua hadhi ya bunge.

Bunge letu lingekuwa na umoja basi huyu Spika angeondolewa mara moja ila ndiyo hivyo tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In the Constitution of URT of 1977
Section 143
(6) In the performance of his functions in accordance with the provisions of subarticles (2), (3) and (4) of this Article, the Controller and Auditor-General shall not be obliged to comply with the order or direction of any other person or Government Department, but the provisions of this subarticle shall not preclude a court from exercising jurisdiction to enquire into whether the Controller and Auditor-General has discharged his functions in accordance with the provisions of this Constitution or not.

Bila kusahau S.14 of Public Audit Act:

14: Immunity from legal proceedings
No action or other proceedings shall lie against the Controller and Auditor-General or any public officer, audit firm or expert authorized by him for or in respect of the findings of any audit examination or inspection carried out by him in good faith in the exercise or purported exercise of powers under this Act.
 
Nasubilia Akilete Hiko Kifungu

Sent using Jamii Forums mobile app
.
Screenshot_20190107-161527_Instagram.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wametofautiana Elimu na uwezo wa kufikiri kwa kiwango kikubwa sana uwezo wa Assad ufanane na yule asiejielewa yupo tuu huku akiongozwa na rimoti anakela sana ndio hawa wanafanya Nchi inaendelea kuwa masikini wakiambiwa wanajifanya kutaka kuhoji watu toka lini alisikia Spika anaweza kumwita CAG hivyo...
 
Yaani bavicha ndio wanafahamu utaratibu kumzidi hata spika mwenyewe hizi ndio zereu sasa.

Ungebackup hoja yako kwa vifungu vya sheria na sio kuleta hisia zako hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom