Wakuu,
Waziri John Magufuli alisema kwamba wizara yake ina mpango wa KUPANUA barabara hii. Swali linakuwa je, itapanuliwa kwa kiwango gani? Je, wanaongeza njia ili ziwe 4, yaani kama ilivyokuwa kutoka Kimara kuelekea mjini, yaani mbili kwenda na mbili kurudi?
Kama mheshimiwa Magufuli yumo humu kama walivyo wenzake akina Tibaijuka, tunaomba atufafanulie. Kama hayupo, mheshimiwa Waziri, basi mdau yeyote anayejua atujulishe tafadhali
Asante.
c.c NDINDA
Waziri John Magufuli alisema kwamba wizara yake ina mpango wa KUPANUA barabara hii. Swali linakuwa je, itapanuliwa kwa kiwango gani? Je, wanaongeza njia ili ziwe 4, yaani kama ilivyokuwa kutoka Kimara kuelekea mjini, yaani mbili kwenda na mbili kurudi?
Kama mheshimiwa Magufuli yumo humu kama walivyo wenzake akina Tibaijuka, tunaomba atufafanulie. Kama hayupo, mheshimiwa Waziri, basi mdau yeyote anayejua atujulishe tafadhali
Asante.
c.c NDINDA
Last edited by a moderator: