CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,178
najua Kuna watanzania wengi hawaelewi kuhusu hili Jambo....
natoa mfano rahisi...
darasa Lina wanafunzi 60 mwaka Jana na wakafanya mtihani wakafaulu 45 ....
mwaka huu darasa Lina wanafunzi 80 wamefanya mtihani wanafaulu 51..
ndio hapo unaambiwa ufaulu umepanda kulinganisha na mwaka Jana!!
natoa mfano rahisi...
darasa Lina wanafunzi 60 mwaka Jana na wakafanya mtihani wakafaulu 45 ....
mwaka huu darasa Lina wanafunzi 80 wamefanya mtihani wanafaulu 51..
ndio hapo unaambiwa ufaulu umepanda kulinganisha na mwaka Jana!!