Kuhusu SUA

paxo

Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
55
Reaction score
31
Habari ya mda huu ndugu zangu.
Kuna dogo mmoja alikuwa kwenye orodha ya multiple admitted, tumecomfirm SUA lakn profile yake haionyeshi mabadiliko yeyote. Naomba kufahamu kwa yule aliyeconfirm SUA nini kimeonekana kwenye profile yake ili niweze kujua kama ni tatizo au laa maana nikiwapigia chuoni hawapokei simu.
 
atakuwa amechaguliwa sua maana hao sua IT yao inazingua sana ila tafuta email ya dvc huwa anareply email
 
Soon watakuja mkuu.
Mwambie dogo akaribie sana SUA.
 
Write your reply...sio peke ake tu wote wa multiple admission Walio fanya confirmation majina yao yapo kwenye mchakato tcu after 2 or 3 days watatoa Tena majina ko awe mpole tu profile Kalbu Zote ziko ivo
 
Write your reply...sio peke ake tu wote wa multiple admission Walio fanya confirmation majina yao yapo kwenye mchakato tcu after 2 or 3 days watatoa Tena majina ko awe mpole tu profile Kalbu Zote ziko ivo
shukrani sana nimekupata
 
Nashukuru nimefanya mawasiliano nao wamenisikiliza nadhani wanalishughulikia
 
Tawi la sua manake hyo coz inatolewa pale na c main campus
 
Mkuu nisaidie mawil matatu kuhusu mazimbu Dogo kachaguliwa bsc in education (math & chemistry)
Ni kozi wengi wanaisoma na mazingira ya chuo ni mazuri sana pia wana maabara ya kisasa wamejengewa. Bila kusahau wakufunzi wapo vizuri kuliko maelezo.
Ataipenda mazimbu_SUA. Karibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…